Acha uchochoko wako,hivi wewe hujui historia imekaa vipi,hivi unajua shule na mahospitali ya mwanzo hapa Tanganyika (Tanzania) zilijengwa na makanisa,sasa kama wakristo wengi ndio walibahatika kusoma kwenye mashule hayo hivi unadhani kwenye kazi za kitaalam na uongozi watachukuliwa watu gani kam sio waliopata elimu stahiki,Usitukanishe Uislamu kwa kutoa hoja zako za kishenzi shenzi zilizojaa uchonganishi na ujinga,now am telling you the truth,msijaribu kuleta uonevu wenu eti kwa sababu wakristo huwa wanakaa kimya mnapokuwa mnatoa hoja zenu zisizokuwa na mashiko,HIVI TUKIANZA KUWEKA KILA KITU NA KUANZA KUANGALIA UDINI TUTAFIKA KWELI,HEBU JARIBUNI KUJIKWAMUA KIELIMU,MAANA NAJUA KIUCHUMI WENGI NI WAFANYABIASHARA WAZURI NA WAKUBWA,JENGENI MASHULE NA KUWEKA MSISITIZO KWENYE ELIMU BORA,NA SIO BORA ELIMU.KUNA USHAHIDI KWAMBA EL-HALAMAIN SEMINARY AKITOKEA MKUU ANAYEONGOZA SHULE KWENYE MISINGI YA KIELIMU ILIYO SAWA HUWA ANAONDOLEWA,BARAZA LA SHULE LIMEJAA MASHABIKI WA DINI ZAIDI KULIKO UHALISIA WA MATAKWA YA ELIMU.JIKOMBOE NDUGU YANGU,USIWAPOTOSHE NA KUWABISHA WENZIO.
Mkapa anayedaiwa kuwapuuza waislam alifanya haya:
1. aliwagawia chuo cha umma caha TANESCO Morogoro na waislam wakakifanya chuo kikuu chao. Fikiria angewapa wakristo kungetokea nini/
2. Ndiye aliyeruhusu wanafunzi na wafanya kazi wa kiislam kuvaa hijab shuleni na kazini. Je angeruhusu wakristo kuvaa rozari kungetokea nini?
Madai ya waislam sio realistic, hapa wanadai ni mfumo kristo ndio tatizo kwao ebu tuangalie matatizo katika nchi ambazo 100% ni waislam watupu lakini vita haziishi na malalamiko ya kunyanyaswa:
1. angalia misiri
2. tunisia
3. Libya
4. Afghanstan
5.Pakstan
6. siria
7. Mali
8. Mauritania
Nyie hambebeki hata wakristo wote wangeachia nafasi zao wakapewa waislam tutashuhudia malalamiko na mapigano miongoni mwa waislam wao kwa wao. JF ingekuwa inaruhusu matusi ningekutukana wewe uliyeleta thread hii. Bahati yako
tatizo sio utaalam tatizo unapopewa kazi ya umma hutafautishi kama ni kazi ya umma bila ya kujali dini yako...wengi mnafanya kazi kuona kama ile kazi ni ya kanisa kwa hio ntahakikisha kondoo nawapa kipaumbele hilo ndio tatizo...wataalam wapo wengi hata mabaniani lakini nao hatuwaoni pia
nawashangaa hawa jamaa wanajua kuyaweka haya utadhani masekretari wa kanisa katoliki, mambo ya taaluma walitaka wafanye wao wakati walipoambiwa wasome walikataa kwa kuhofia kubatizwa. Mambo ya kitaalam tofauti na waganga wa kienyeji jamani.
hujasoma utafiri wote..inavo onekana utafiti mzima unatokana na tafiti za wataalam wa kikristo kama john sivalon.....sasa nani wa kupotosha ..jee ni huyu padri au mleta mada ambaye ame copy tu
mkapa anayedaiwa kuwapuuza waislam alifanya haya:
1. Aliwagawia chuo cha umma caha tanesco morogoro na waislam wakakifanya chuo kikuu chao. Fikiria angewapa wakristo kungetokea nini/
2. Ndiye aliyeruhusu wanafunzi na wafanya kazi wa kiislam kuvaa hijab shuleni na kazini. Je angeruhusu wakristo kuvaa rozari kungetokea nini?
Madai ya waislam sio realistic, hapa wanadai ni mfumo kristo ndio tatizo kwao ebu tuangalie matatizo katika nchi ambazo 100% ni waislam watupu lakini vita haziishi na malalamiko ya kunyanyaswa:
1. Angalia misiri
2. Tunisia
3. Libya
4. Afghanstan
5.pakstan
6. Siria
7. Mali
8. Mauritania
nyie hambebeki hata wakristo wote wangeachia nafasi zao wakapewa waislam tutashuhudia malalamiko na mapigano miongoni mwa waislam wao kwa wao. Jf ingekuwa inaruhusu matusi ningekutukana wewe uliyeleta thread hii. Bahati yako
Mkuu una-point ya muhimu sana, ila uandishi wako ni kikwazo!kusoma wanakaza sana katika "ilim aghera" apo utackia uyu ana degree 16 lkn elimu ya taaluma kaishia la 7 afu kuna mtu kapasua mpk chuo kikuu na ana utaalamu ni co elimu aghera sasa apa kwa akili ya haraka anaajiriwa nan au nani atapewa ktengo asimamie?? iv kweli tukuweke ktengon upige ramli na kuroga watu apo tutakua tunaendelea au tutakua tunapga jaramba tu!! tukaze tusomee vitu vya maendeleo co uwe na degree 70 zczo na maana yyt