Unaongelea wa kaskazini au hata wa kanda ya ziwa na wale wa mbeya....
wakuu utafiti nilioufanya kwa takribani mwaka moja ni kwamba 80% ya wanawake wanaovaa suruali wana miguu membamba kama fito au toothpick. TIRIRIKENI HAPA
Utafiti fake huo . Wanawake wanavaa suruali si kuficha miguu bali kubana makalio ili wakurushe ROHO
wakuu utafiti nilioufanya kwa takribani mwaka moja ni kwamba 80% ya wanawake wanaovaa suruali wana miguu membamba kama fito au toothpick. TIRIRIKENI HAPA
Utafiti fake huo . Wanawake wanavaa suruali si kuficha miguu bali kubana makalio ili wakurushe ROHO
Nakubaliana Sana Na Wewe Tena Kwa 100% Kwa Ulichokisema Na Kuna Wengine Wana Miguu Mibaya Na Imekondeana Utadhani Kuni Za Nyongeza.
Nakubaliana Sana Na Wewe Tena Kwa 100% Kwa Ulichokisema Na Kuna Wengine Wana Miguu Mibaya Na Imekondeana Utadhani Kuni Za Nyongeza.
Mkuu kiujumla kama mtu ana tatizo/upungufu flani kwenye mwili wake na hayuko comfortable watu kuuona ni dhahiri kwamba atatafuta namna ya kuucover..Hiyo ni kwa wote..Wanaume na wanawake...Ila wapo ambao wana tatizo lakini still wako comfortable wala hawajali..
Mkuu kiujumla kama mtu ana tatizo/upungufu flani kwenye mwili wake na hayuko comfortable watu kuuona ni dhahiri kwamba atatafuta namna ya kuucover..Hiyo ni kwa wote..Wanaume na wanawake...Ila wapo ambao wana tatizo lakini still wako comfortable wala hawajali..
So kujibu swali la mtoa mada..Nadhani inategemea ntu na ntu..Wapo wanaovaa kwa ajili hiyo ya kuficha fito zao
Wakuu utafiti nilioufanya kwa takribani mwaka moja ni kwamba 80% ya wanawake wanaovaa suruali wana miguu membamba kama fito au toothpick.
TIRIRIKENI HAPA.