Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,109
- 34,066
Habarini Wadau,
Nimefanya Utafiti kwa muda mrefu na kugundua kuwa Wanawake wengi wa kizungu kutoka US na bara la Ulaya wana miguu mizuri, minene na yenye afya kuliko wanawake weusi wa Afrika
Nilifanya Sampling kutoka kwny population ya Wanawake wa mabara manne yaani Africa, Asia, America na Europe na kugundua hilo
Kwa Upande wa Asia utafiti kidogo unaonesha Wajapan na Wachina wana miguu mizuri kuliko Wahindi, Wafilipino, Wathailand, Indonesia n.k
Sijamaliza Utafiti na kupata majibu, so ninawauliza wadau hapa
Hivi sababu ni kufanya mazoezi, vinasaba (genetics) au hali nzuri ya kiuchumi na chakula navyo huchangia?
View attachment 2785999
Nimefanya Utafiti kwa muda mrefu na kugundua kuwa Wanawake wengi wa kizungu kutoka US na bara la Ulaya wana miguu mizuri, minene na yenye afya kuliko wanawake weusi wa Afrika
Nilifanya Sampling kutoka kwny population ya Wanawake wa mabara manne yaani Africa, Asia, America na Europe na kugundua hilo
Kwa Upande wa Asia utafiti kidogo unaonesha Wajapan na Wachina wana miguu mizuri kuliko Wahindi, Wafilipino, Wathailand, Indonesia n.k
Sijamaliza Utafiti na kupata majibu, so ninawauliza wadau hapa
Hivi sababu ni kufanya mazoezi, vinasaba (genetics) au hali nzuri ya kiuchumi na chakula navyo huchangia?
View attachment 2785999