Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
- Thread starter
- #81
Thanks u Mkuu Asante sana NIMEKUELEWA VYEMA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma maelezo yako mwanzo mpaka mwisho kuna jambo nmejifunza bro.. kwenye swala la mapenzi ni la watu wote wawil kufurahia penzi sasa endapo mmoja akiwa na hofu na uzun kwenye penzi basi hilo sio penzi tena af bro mapenzi yanasema kwamba ukiona mtu amekublock,akutafti kwa sim au kwa sms basi ww usiumize kichwa kumuulzia kwann anafanya ivo we bro vunga tu fanya mambo yako maana kwenye swala la mapenzi kama angekuw anakupenda angefanya ivo bila hata ya wew kuangaika basi hio inadhihirisha kuna mtu mwingine anafanyiwa hayo ambayo akufanyii wewe kama kutextiw kila mda na kutoblockiw lkn bro we fanya inshu zako vaa vizuri af ata ukimuona ongea nae lkn usioneshe unashida sana coz itakusaidia kuvuta hisia zake kwamba yan huyu mtu kwa yote haya bado hawazi .. atarudi af pia ogopa kuwa mnyonge kwenye mipaka yako bro .... lkn take care kwa hzo nilokwambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app