Utafanya nini endapo mpenzi wako kaku-block?

Utafanya nini endapo mpenzi wako kaku-block?

Mmmh apo usipojitoa kimaso maso basi atakutesa sana huyo bint, ...ata ukija kuwa na mtu mwngne yule akirud waweza pata tamaa ya kurudi kule tena

Dalili zishajionesha , miez 3 block kweli kwa mtu unayempenda?, haiwezekani. Mpotezee fanya mambo yako, yeye mwnyw ipo siku atakuja kujua upendo wako ulikuwa ni wa thamani gani

Mapenz sijui yapoje, mtu unayempenda sana wala hana ata habari na ww, na anayependwa sana hajui thamani ya mtu ampendaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia yeye hakupendi hata robo, na alikutafutia sababu toka mwanzo ila wewe hukujua,

Na inaonekana ana boyfriend anaempa pesa na kumkuna vizuri,

Kikubwa jembe we achana nae kwanza atapetape akichoka atarudi kwako tu.

Tafuta pesa, we zitafute tu pesa, hata asiporudi wapo wengi mno wazuri utawapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu,

Heri ya Christmas in advance. Naombeni ushauri wenu.

Yapata miezi mitatu namiss na kutamani kuyarejesha mahusiano yangu ingawaje imeniwia vigumu kabisa kutokana na kublokiwa katika njia zote za mawasiliano ya kijamii.

Sababu ni kuhisiwa nime-CHEAT lakini katika ukweli halisi sijafanya hivyo wala sijawaza kufanya; natamani mpenzi wangu anipe walau nafasi niweze kuzungumzia hili labda atanielewa lakini amekuwa akinikwepa na kutotaka kuniona kabisa. Mbaya zaidi kani-block kila sehemu za mawasiliano.

Kwa wataalamu wa mahusiano, nini naweza kufanya kuyaokoa mahusiano yangu maana bado nampenda na kuwa na tofauti naye kumeniathiri sana katika harakari zangu.

Nimetumia marafiki zake lakini bado hakuna dalili njema ya marudiano sababu kila contact nitakayo mtafuta, akijuwa ni mimi tu, nachezea kufuli.

Kiukweli inaniuma hasa mwaka mnaenda kwisha bila mapatano, na ukizingatia mazingira ya yeye kuhisi nimem-CHEAT yana asilimia ndogo sana.

Na kuhusu mimi binafsi, nampenda sana na sijawahi waza kuchepuka since naanza naye relationship.

Imebidi kuomba basi kama imefika kikomo aseme huenda moyo ukawa na amani lakini hayupo tayari kuwa wazi kama bado ananipenda au la.

Wataalamu wa mahusiano tusaidiane katika hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha useng.e pissi zote mtaa unahaha nini?mimi uniblock halafu nikutafute tena?never ever.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu,

Heri ya Christmas in advance. Naombeni ushauri wenu.

Yapata miezi mitatu namiss na kutamani kuyarejesha mahusiano yangu ingawaje imeniwia vigumu kabisa kutokana na kublokiwa katika njia zote za mawasiliano ya kijamii.

Sababu ni kuhisiwa nime-CHEAT lakini katika ukweli halisi sijafanya hivyo wala sijawaza kufanya; natamani mpenzi wangu anipe walau nafasi niweze kuzungumzia hili labda atanielewa lakini amekuwa akinikwepa na kutotaka kuniona kabisa. Mbaya zaidi kani-block kila sehemu za mawasiliano.

Kwa wataalamu wa mahusiano, nini naweza kufanya kuyaokoa mahusiano yangu maana bado nampenda na kuwa na tofauti naye kumeniathiri sana katika harakari zangu.

Nimetumia marafiki zake lakini bado hakuna dalili njema ya marudiano sababu kila contact nitakayo mtafuta, akijuwa ni mimi tu, nachezea kufuli.

Kiukweli inaniuma hasa mwaka mnaenda kwisha bila mapatano, na ukizingatia mazingira ya yeye kuhisi nimem-CHEAT yana asilimia ndogo sana.

Na kuhusu mimi binafsi, nampenda sana na sijawahi waza kuchepuka since naanza naye relationship.

Imebidi kuomba basi kama imefika kikomo aseme huenda moyo ukawa na amani lakini hayupo tayari kuwa wazi kama bado ananipenda au la.

Wataalamu wa mahusiano tusaidiane katika hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tembea na ndugu yake wa damu kama yupo au mtu wake wa karibu. Niliwahi kufanya hivyo kibinti kiliniletea ujinga sasa mdogo wake alikuwa kisu kuliko yeye nikala na nikampa bonge la zawadi. Kilichofuatia ni kila siku yule mtu ni majuto tuu na kaharibikiwa kabisa. NB ukifanya hivyo basi automatically upendo kwa yule mwingine unaondoka kabisaa na hutomuwazia tena!
 
Mkuu Hakuna kitu Hatari Kama Uanze Mahusiano Namtu Ukiwa Uja fall Kiivyo Lkn Mkiwa ndani Akaku Teach Kupenda Kweli kweli Mara vuu Anakuukataa Inauma Kinomaa Maana Unakuwa umezama Yote yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu utazamaje kwa demu mzima mzima? Mwanamke ninayeweza kumpenda mazima maxima ni mama yangu tuu,,, wengine ni kuzoeana tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wakuu,

Heri ya Christmas in advance. Naombeni ushauri wenu.

Yapata miezi mitatu namiss na kutamani kuyarejesha mahusiano yangu ingawaje imeniwia vigumu kabisa kutokana na kublokiwa katika njia zote za mawasiliano ya kijamii.

Sababu ni kuhisiwa nime-CHEAT lakini katika ukweli halisi sijafanya hivyo wala sijawaza kufanya; natamani mpenzi wangu anipe walau nafasi niweze kuzungumzia hili labda atanielewa lakini amekuwa akinikwepa na kutotaka kuniona kabisa. Mbaya zaidi kani-block kila sehemu za mawasiliano.

Kwa wataalamu wa mahusiano, nini naweza kufanya kuyaokoa mahusiano yangu maana bado nampenda na kuwa na tofauti naye kumeniathiri sana katika harakari zangu.

Nimetumia marafiki zake lakini bado hakuna dalili njema ya marudiano sababu kila contact nitakayo mtafuta, akijuwa ni mimi tu, nachezea kufuli.

Kiukweli inaniuma hasa mwaka mnaenda kwisha bila mapatano, na ukizingatia mazingira ya yeye kuhisi nimem-CHEAT yana asilimia ndogo sana.

Na kuhusu mimi binafsi, nampenda sana na sijawahi waza kuchepuka since naanza naye relationship.

Imebidi kuomba basi kama imefika kikomo aseme huenda moyo ukawa na amani lakini hayupo tayari kuwa wazi kama bado ananipenda au la.

Wataalamu wa mahusiano tusaidiane katika hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdodo wng pole san ..ucpende hvo ktk hii dunia ...uctumie nguv kubwa kurudisha penzi lililo mfu ni sum kubwa na hapo ndipo unapo jidhihirisha wew ni dhaifu sana.
NOTE😛enda kiasi ,share naye mawazo,amini kiasi,jitoe kadri ya uwezo wako but ucfanye beyond ua capacity ili kumfurahisha plus akili kichwani amini ctakuona humu tena unalia kuhusu hizi mambo.
 
Nimesoma maelezo yako mwanzo mpaka mwisho kuna jambo nmejifunza bro.. kwenye swala la mapenzi ni la watu wote wawil kufurahia penzi sasa endapo mmoja akiwa na hofu na uzun kwenye penzi basi hilo sio penzi tena af bro mapenzi yanasema kwamba ukiona mtu amekublock,akutafti kwa sim au kwa sms basi ww usiumize kichwa kumuulzia kwann anafanya ivo we bro vunga tu fanya mambo yako maana kwenye swala la mapenzi kama angekuw anakupenda angefanya ivo bila hata ya wew kuangaika basi hio inadhihirisha kuna mtu mwingine anafanyiwa hayo ambayo akufanyii wewe kama kutextiw kila mda na kutoblockiw lkn bro we fanya inshu zako vaa vizuri af ata ukimuona ongea nae lkn usioneshe unashida sana coz itakusaidia kuvuta hisia zake kwamba yan huyu mtu kwa yote haya bado hawazi .. atarudi af pia ogopa kuwa mnyonge kwenye mipaka yako bro .... lkn take care kwa hzo nilokwambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I understand u This Words is mean allot
Mdodo wng pole san ..ucpende hvo ktk hii dunia ...uctumie nguv kubwa kurudisha penzi lililo mfu ni sum kubwa na hapo ndipo unapo jidhihirisha wew ni dhaifu sana.
NOTE😛enda kiasi ,share naye mawazo,amini kiasi,jitoe kadri ya uwezo wako but ucfanye beyond ua capacity ili kumfurahisha plus akili kichwani amini ctakuona humu tena unalia kuhusu hizi mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom