Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,408
Salaam wakuu,
Heri ya Christmas in advance. Naombeni ushauri wenu.
Yapata miezi mitatu namiss na kutamani kuyarejesha mahusiano yangu ingawaje imeniwia vigumu kabisa kutokana na kublokiwa katika njia zote za mawasiliano ya kijamii.
Sababu ni kuhisiwa nime-CHEAT lakini katika ukweli halisi sijafanya hivyo wala sijawaza kufanya; natamani mpenzi wangu anipe walau nafasi niweze kuzungumzia hili labda atanielewa lakini amekuwa akinikwepa na kutotaka kuniona kabisa. Mbaya zaidi kani-block kila sehemu za mawasiliano.
Kwa wataalamu wa mahusiano, nini naweza kufanya kuyaokoa mahusiano yangu maana bado nampenda na kuwa na tofauti naye kumeniathiri sana katika harakari zangu.
Nimetumia marafiki zake lakini bado hakuna dalili njema ya marudiano sababu kila contact nitakayo mtafuta, akijuwa ni mimi tu, nachezea kufuli.
Kiukweli inaniuma hasa mwaka mnaenda kwisha bila mapatano, na ukizingatia mazingira ya yeye kuhisi nimem-CHEAT yana asilimia ndogo sana.
Na kuhusu mimi binafsi, nampenda sana na sijawahi waza kuchepuka since naanza naye relationship.
Imebidi kuomba basi kama imefika kikomo aseme huenda moyo ukawa na amani lakini hayupo tayari kuwa wazi kama bado ananipenda au la.
Wataalamu wa mahusiano tusaidiane katika hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya Christmas in advance. Naombeni ushauri wenu.
Yapata miezi mitatu namiss na kutamani kuyarejesha mahusiano yangu ingawaje imeniwia vigumu kabisa kutokana na kublokiwa katika njia zote za mawasiliano ya kijamii.
Sababu ni kuhisiwa nime-CHEAT lakini katika ukweli halisi sijafanya hivyo wala sijawaza kufanya; natamani mpenzi wangu anipe walau nafasi niweze kuzungumzia hili labda atanielewa lakini amekuwa akinikwepa na kutotaka kuniona kabisa. Mbaya zaidi kani-block kila sehemu za mawasiliano.
Kwa wataalamu wa mahusiano, nini naweza kufanya kuyaokoa mahusiano yangu maana bado nampenda na kuwa na tofauti naye kumeniathiri sana katika harakari zangu.
Nimetumia marafiki zake lakini bado hakuna dalili njema ya marudiano sababu kila contact nitakayo mtafuta, akijuwa ni mimi tu, nachezea kufuli.
Kiukweli inaniuma hasa mwaka mnaenda kwisha bila mapatano, na ukizingatia mazingira ya yeye kuhisi nimem-CHEAT yana asilimia ndogo sana.
Na kuhusu mimi binafsi, nampenda sana na sijawahi waza kuchepuka since naanza naye relationship.
Imebidi kuomba basi kama imefika kikomo aseme huenda moyo ukawa na amani lakini hayupo tayari kuwa wazi kama bado ananipenda au la.
Wataalamu wa mahusiano tusaidiane katika hili.
Sent using Jamii Forums mobile app