Utafanya nini endapo mpenzi wako kaku-block?

Utafanya nini endapo mpenzi wako kaku-block?

Mimi aliniblock hivo bahati nzuri alianza kuonesha dalili mapema hivo nishajiaandaa kisaikolojia. Nikatafuta namba tofauti na zile kadhaa wnazojua nikapiga akaniskia akakata simu na muda huo nishatype text, nilimshukuru kwa upendo wake, nikamsifu kwa uzuri wake kisha kwaheri. Miezi kadhaa badae ananitafuta eti kwanini namfatilia, nikamtukana ovyo. Akaita kaka yake, nikatukana ovyo nikamuacha na maisha yake. Nilifanya hivi ili tusirudiane
 
Alikuwa Anataka Attention Kama mm Anamwambia Rafiki Yake Nilie Muomba Aongee Nae Etii!! Ili arudiane Na mm Basi Huyo Rafiki Yake Nae Arudiane Na Mtu wake Maana Waliachana pia.. Drama[emoji34]
Mimi aliniblock hivo bahati nzuri alianza kuonesha dalili mapema hivo nishajiaandaa kisaikolojia. Nikatafuta namba tofauti na zile kadhaa wnazojua nikapiga akaniskia akakata simu na muda huo nishatype text, nilimshukuru kwa upendo wake, nikamsifu kwa uzuri wake kisha kwaheri. Miezi kadhaa badae ananitafuta eti kwanini namfatilia, nikamtukana ovyo. Akaita kaka yake, nikatukana ovyo nikamuacha na maisha yake. Nilifanya hivi ili tusirudiane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom