Busara ya kulea shahawa za dume jenzako?ni kweli hawafanani, anafanana na huyo wa kwanza kushoto tu. hata hivyo, angetumia busara tu.
Mirembe wanakuitaji ufike mapema.
Busara ya kulea shahawa za dume jenzako?ni kweli hawafanani, anafanana na huyo wa kwanza kushoto tu. hata hivyo, angetumia busara tu.
Kagua vizuri ubongo wakoDaah yaani watoto walishakuwa hivyo
Na mna muda mrefu kwenye ndoa+uchumba sugu+ uchumba hapo tuseme wana zaidi ya miaka 20 sasa kwa nini muachane? Hapo ni kumsamehe tu na hao watoto kaa kimya usiwaambie watakusaidia baadae ukiwa hauna nguvu.
Ulokole wako umeondoa uwezo wako wa kufikiri uliopewa na Mungu.busara ni kufuata kile Roho Mtakatifu atakachokuongoza nacho, hata akisema umsamehe ubaki naye ila watoto wajue baba yao ili wasije kuoana na ndugu zao hapo baadaye, unatakiwa kukubaliana nalo. maamuzi mengi watu wanayachukua nje ya Mungu huwa hayana mwisho mwema. kuna kitu tu kizuri alichonacho huyo mwanamke ambacho hata kama alikuwa na makosa, ila kinamfaa huyo jamaa.
watoto wanaonekana walizaliwa miaka mingi, pengine kabla ya ndoa au baada ya ndoa, wakati ule ambao watu ambao hawajaokoka huwa wanakuwa hawana uhakika na mchumba waliye naye na wanakuwa na wachumba wengi, na si ukute huyo mwanamke hakujua kama mimba sio ya huyo jamaa, pengine alitembea nao wote siku za hatari, na ameishi akijua watoto ni wa jamaa. na baada ya kuoana amekuwa mke mwema, kwanini umtimue kwa makosa ya miaka 15 iliyopita?
hii kauli ya kuhalalisha makosa ya usaliti.
Na watoto?
Hapo imekaa vzrhapa ilitakiwa mwanamke amlipe jamaa gharama za matunzo na asipewe chochote kwenye mali
Hatimaye leo nimebahatika kusoma comment yako ambayo iko straight to the post........Maamuzi gani zaidi? Mnawachana tu kila mtu anatazama maisha yake, na watoto wamjuwe baba yao ni nani.
Wapo wengi hao mkuu. Namfaham mmoja,wana hela chafu. Lakini,mwanamke, nadhani hajui kusema neno hapana. Watu wana mi VX,lakini walinzi wa shule,wauza kuku wanaotembeza kwa baiskeli,waanika dagaa mwaloni,waganga wa kienyeji ndo usiseme. Japo huyu siku zote alilenga kumuua mme wake.Kipimo kiko accurate 100%? Umeolewa na tajiri bado una cheat!! Bumbav
Ila wanWake jamani nyie nyoko.Maamuzi gani zaidi? Mnawachana tu kila mtu anatazama maisha yake, na watoto wamjuwe baba yao ni nani.
Ukimpata anaefit hisia,moyo na na ni vibrant yaani anasisimua Sana ukiwa nae karibu!unaishi nae NA kumzalisha hata toto mbili!Singo maza HAOLEWI
Hao ni wa X..!!
Dear X
Dada aligoma kuchanganya mbegu.
#YNWA
Single maza ni tatizo..na usikute pamoja na kuachana lkn bado walikua pamoja ndio yakatokea hayoJamaa fala sana, utaoaje singo Maza?.
Kuna singo Maza wengine washahapa kuzaa na mwanamme mmoja tuu.
Ukimuoa ujue, watoto wote atakaozaa ni wa mwanamme wa kwanza.
Hahahahaha unatetea sio ?Hao ni wakwake aachane na mambo ya DNA
Mtoto akijua wewe sio baba yake kuna namna tu hatokuwa kama mwanzo hasa wa kizazi cha sasa.Nikilea mtoto na kujenga nae bond hata nigundue ni mtoto wa adui yangu atabaki kuwa mwanangu.
Sijajua kama itakua hivyo, ila sidhaniHivi hapa bado mali walizochuma watagawana 50/50 50 ?
Dah ...pole yake Mwamba...tumejifunzamchezaji wa zamani wa Chelsea, Real Madrid na timu ya taifa ya Cameroon 🇨🇲 Geremi Njitap, ametangaza kuvunja ndoa yake na mkewe Laure Fotso, ndoa iliyodumu kwa muda wa miaka 12, baada ya kugundua ya kwamba, watoto wawili mapacha (pichani, wa kike katikati na wa kiume kulia), sio watoto wake.
Utachukua maamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako, kumbe sio wako?
View attachment 2942848
View attachment 2942852
haya yote unayaongea kwasababu nimesema angefuata uongozi wa Mungu kabla ya kuamua kumwacha mkewe? au kuna lingine.Ulokole wako umeondoa uwezo wako wa kufikiri uliopewa na Mungu.
wanadamu wengi huwa wanajihesabia haki, hata wanapowapa adhabu wengine huwa wanajiona wao ni watakatifu, kumbe na wao wana makosa yao mengi. wanahitaji kusamehewa, Yesu alisema kama hutawasamehe wengine na Mungu hatakusamehe. ni jambo gumu lakini ni muhimu kulitafuna kama lilivyo ili kuponya roho.Busara ya kulea shahawa za dume jenzako?
Mirembe wanakuitaji ufike mapema.