Utachukua uamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako kumbe sio wako?

busara ni kufuata kile Roho Mtakatifu atakachokuongoza nacho, hata akisema umsamehe ubaki naye ila watoto wajue baba yao ili wasije kuoana na ndugu zao hapo baadaye, unatakiwa kukubaliana nalo. maamuzi mengi watu wanayachukua nje ya Mungu huwa hayana mwisho mwema. kuna kitu tu kizuri alichonacho huyo mwanamke ambacho hata kama alikuwa na makosa, ila kinamfaa huyo jamaa.

watoto wanaonekana walizaliwa miaka mingi, pengine kabla ya ndoa au baada ya ndoa, wakati ule ambao watu ambao hawajaokoka huwa wanakuwa hawana uhakika na mchumba waliye naye na wanakuwa na wachumba wengi, na si ukute huyo mwanamke hakujua kama mimba sio ya huyo jamaa, pengine alitembea nao wote siku za hatari, na ameishi akijua watoto ni wa jamaa. na baada ya kuoana amekuwa mke mwema, kwanini umtimue kwa makosa ya miaka 15 iliyopita?
Ulokole wako umeondoa uwezo wako wa kufikiri uliopewa na Mungu.
 
Kipimo kiko accurate 100%? Umeolewa na tajiri bado una cheat!! Bumbav
Wapo wengi hao mkuu. Namfaham mmoja,wana hela chafu. Lakini,mwanamke, nadhani hajui kusema neno hapana. Watu wana mi VX,lakini walinzi wa shule,wauza kuku wanaotembeza kwa baiskeli,waanika dagaa mwaloni,waganga wa kienyeji ndo usiseme. Japo huyu siku zote alilenga kumuua mme wake.

Af cha ajabu,kwa nini wale wanaohangaika vijijini,kupiga tu vibarua,wanaheshimiana na kuelewana! Kuna wakati elimu na pesa huwa shida sasa. Japo na wengine unakuta hata la 7 hakuingia,ila milango ya maisha ikifunguka tu,mtajuta.

Hivi,mliwahi jiuliza kwa nini mwanaume akiua kwa sababu kama hii,mahakama haiwezi kumpa kifungu cha maisha?
 
Jamaa fala sana, utaoaje singo Maza?.

Kuna singo Maza wengine washahapa kuzaa na mwanamme mmoja tuu.

Ukimuoa ujue, watoto wote atakaozaa ni wa mwanamme wa kwanza.
Single maza ni tatizo..na usikute pamoja na kuachana lkn bado walikua pamoja ndio yakatokea hayo
 
mchezaji wa zamani wa Chelsea, Real Madrid na timu ya taifa ya Cameroon 🇨🇲 Geremi Njitap, ametangaza kuvunja ndoa yake na mkewe Laure Fotso, ndoa iliyodumu kwa muda wa miaka 12, baada ya kugundua ya kwamba, watoto wawili mapacha (pichani, wa kike katikati na wa kiume kulia), sio watoto wake.

Utachukua maamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako, kumbe sio wako?
View attachment 2942848
View attachment 2942852
Dah ...pole yake Mwamba...tumejifunza
 
Busara ya kulea shahawa za dume jenzako?
Mirembe wanakuitaji ufike mapema.
wanadamu wengi huwa wanajihesabia haki, hata wanapowapa adhabu wengine huwa wanajiona wao ni watakatifu, kumbe na wao wana makosa yao mengi. wanahitaji kusamehewa, Yesu alisema kama hutawasamehe wengine na Mungu hatakusamehe. ni jambo gumu lakini ni muhimu kulitafuna kama lilivyo ili kuponya roho.

kwa wanavyosema, huyo mama alikuwa mke wa mtu mwingine kabla hajaolewa na huyo mcheza mpira, manake aliondoka kwa mmewe akaolewa naye, sasa unategemea huyo mumewe wa zamani alikuwa anaishi naye kama dadake wewe ulipomchukua? unajua maana ya mume na mke kweli? ukiamua kuchukua mke wa mtu umuoe, usitegemee utamkuta bikra, ni kwamba unachukua mtu aliyekuwa akiingiliana na mumewe mara nyingi zisizohesabika hivyo ni jambo la kawaida watoto kuwa wa mume huyo wa zamani.
 
Back
Top Bottom