peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,791
- 21,366
Kwà teuzi 61 zilizofanyika jana ninakubaliana na wewe 100% . Tena atakuwa mkuu wa Mkoa wa Dar au Dodoma. Huyu ni kidata mwingine.Makonda ni kiongozi mzuri na mchapa kazi sana japo hakuna binadamu asiye na mapungufu. Kama kijana mchango wake bado ni wa muhimu sana katika ujenzi wa Taifa letu.
Ni suala la muda tu ila namuona Makonda akirudishwa kwenye ukuu wa mkoa nafasi ya juu zaidi