Uwe unampenda au humpendi utakubaliana na mimi kwamba Mh Tundu Lissu ni tunu ta taifa. Sitaki kurudia mambo mengi yaliyopita lakini kwa ufupi ni kuwa yale yoote aliyotuonya wana wa tanzania kuhusu utawala bora na sheria sote tumeshuhudia athari zake. Athari kwa watanzania wote, wenye vyama na wasio na vyama.
Sasa kumekucha, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kiongozi shupavu anayejiamini ambaye uwezo wake hautiliwi shaka sasa analenga kuleta utengamani wa kitaifa.
Inapendeza sana watu kukaa kwa upendo.
Leo imetamkwa rasmi kwa kauli ya Waziri wa Mambo ya ndani Mh Masauni kuwa sasa ni wakati mwafaka waliokimbia nchi warudi tujenge nchi pamoja kwa upendo.
Hii ni hatua ya kupongezwa, ni ushujaa kwa Rais.
Jambo lingine linalitarajiwa ni Truth and Reconcilialtions yaani Ukweli na Usuluhishi. Chini ya Tundu Lissu mpenda haki ninaona Bright Future is coming. Ni kiongozi wa kuaminika.
Aliwahi kukiri hadharani Mbunge wa CCM wa jimbo la Mvumi Dodoma Mh Lusinde kuwa pamoja na tofauti zao za kisiasa lakini Tundu Lissu ni Mtu mwadilifu sana, mwelewa, mpenda maendeleo na hanunuliki.
Karibu Home Mh Tundu.
Umekuwa role model kwa vijana wa Tanzania
Sasa kumekucha, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kiongozi shupavu anayejiamini ambaye uwezo wake hautiliwi shaka sasa analenga kuleta utengamani wa kitaifa.
Inapendeza sana watu kukaa kwa upendo.
Leo imetamkwa rasmi kwa kauli ya Waziri wa Mambo ya ndani Mh Masauni kuwa sasa ni wakati mwafaka waliokimbia nchi warudi tujenge nchi pamoja kwa upendo.
Hii ni hatua ya kupongezwa, ni ushujaa kwa Rais.
Jambo lingine linalitarajiwa ni Truth and Reconcilialtions yaani Ukweli na Usuluhishi. Chini ya Tundu Lissu mpenda haki ninaona Bright Future is coming. Ni kiongozi wa kuaminika.
Aliwahi kukiri hadharani Mbunge wa CCM wa jimbo la Mvumi Dodoma Mh Lusinde kuwa pamoja na tofauti zao za kisiasa lakini Tundu Lissu ni Mtu mwadilifu sana, mwelewa, mpenda maendeleo na hanunuliki.
Karibu Home Mh Tundu.
Umekuwa role model kwa vijana wa Tanzania