Utabiri: Tundu Lissu kuwa 'mediator' wa 'Truth and Reconciliation Commitee'. Uwezo wake hauna shaka

Rasterman

JF-Expert Member
Feb 24, 2015
33,905
44,017
Uwe unampenda au humpendi utakubaliana na mimi kwamba Mh Tundu Lissu ni tunu ta taifa. Sitaki kurudia mambo mengi yaliyopita lakini kwa ufupi ni kuwa yale yoote aliyotuonya wana wa tanzania kuhusu utawala bora na sheria sote tumeshuhudia athari zake. Athari kwa watanzania wote, wenye vyama na wasio na vyama.

Sasa kumekucha, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kiongozi shupavu anayejiamini ambaye uwezo wake hautiliwi shaka sasa analenga kuleta utengamani wa kitaifa.

Inapendeza sana watu kukaa kwa upendo.

Leo imetamkwa rasmi kwa kauli ya Waziri wa Mambo ya ndani Mh Masauni kuwa sasa ni wakati mwafaka waliokimbia nchi warudi tujenge nchi pamoja kwa upendo.

Hii ni hatua ya kupongezwa, ni ushujaa kwa Rais.

Jambo lingine linalitarajiwa ni Truth and Reconcilialtions yaani Ukweli na Usuluhishi. Chini ya Tundu Lissu mpenda haki ninaona Bright Future is coming. Ni kiongozi wa kuaminika.

Aliwahi kukiri hadharani Mbunge wa CCM wa jimbo la Mvumi Dodoma Mh Lusinde kuwa pamoja na tofauti zao za kisiasa lakini Tundu Lissu ni Mtu mwadilifu sana, mwelewa, mpenda maendeleo na hanunuliki.

Karibu Home Mh Tundu.
Umekuwa role model kwa vijana wa Tanzania
 
Mama ameoneshwa na mungu njia iliyo njema. Angelifanya kosa kubwa Kama angemdhulum mwana wa mungu Tundu Lisu haki ama usalama wake
 
Mama ameoneshwa na mungu njia iliyo njema. Angelifanya kosa kubwa Kama angemdhulu mwana wa mungu Tundu Lisu haki ama usalama wake
Amina. Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobi ambariki sana
 
Sirro haamini kinachoendelea. Tujitahid sana kutenda haki hasa tukipata vyeo.Siku zote mwisho wa ubaya ni aibu
 
Uwe unampenda au humpendi utakubaliana na mimi kwamba Mh Tundu Lissu ni tunu ta taifa. Sitaki kurudia mambo mengi yaliyopita lakini kwa ufupi ni kuwa yale yoote aliyotuonya wana wa tanzania kuhusu utawala bora na sheria sote tumeshuhudia athari zake. Athari kwa watanzania wote, wenye vyama na wasio na vyama.
Kumbe lusinde ni Mbunge WA Jimbo La mVumi Sawa
 
Uwe unampenda au humpendi utakubaliana na mimi kwamba Mh Tundu Lissu ni tunu ta taifa. Sitaki kurudia mambo mengi yaliyopita lakini kwa ufupi ni kuwa yale yoote aliyotuonya wana wa tanzania kuhusu utawala bora na sheria sote tumeshuhudia athari zake. Athari kwa watanzania wote, wenye vyama na wasio na vyama.

Sasa kumekucha, chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kiongozi shupavu anayejiamini ambaye uwezo wake hautiliwi shaka sasa analenga kuleta utengamani wa kitaifa.

Inapendeza sana watu kukaa kwa upendo.

Leo imetamkwa rasmi kwa kauli ya Waziri wa Mambo ya ndani Mh Masauni kuwa sasa ni wakati mwafaka waliokimbia nchi warudi tujenge nchi pamoja kwa upendo.

Hii ni hatua ya kupongezwa, ni ushujaa kwa Rais.

Jambo lingine linalitarajiwa ni Truth and Reconcilialtions yaani Ukweli na Usuluhishi. Chini ya Tundu Lissu mpenda haki ninaona Bright Future is coming. Ni kiongozi wa kuaminika.

Aliwahi kukiri hadharani Mbunge wa CCM wa jimbo la Mvumi Dodoma Mh Lusinde kuwa pamoja na tofauti zao za kisiasa lakini Tundu Lissu ni Mtu mwadilifu sana, mwelewa, mpenda maendeleo na hanunuliki.

Karibu Home Mh Tundu.
Umekuwa role model kwa vijana wa Tanzania

Sidhani kama una uelewa sahihi wa neno “mediator” au mediation inavyofanyika!
 
Sidhani kama una uelewa sahihi wa neno “mediator” au mediation inavyofanyika!
Naelewa sana. Na nilitarajia swali kama hili.
Wengine mtasema anakuwaje mediator wakati yeye ni kati ya pande mbili zinazohasimiana? Kwa lugha nyingine anahitajika Third paty. Au sio
 
Yeye mwenyewe ni muathirika... tena awe mediator! Haitaleta mgongano wa maslahi?
Mada nimeitupia hivyo. Ni aina ya uandishi kuvuta atention of how is that possible? Lakini ifahamike kuwa mediation huanzishwa kwa utashi wa waathirika kwanza ndipo Third Party anahusika.
 
Tumegee zaidi. Hiyo-kamati


Je ni fununu hii kamati itakuwepo?
Itakuwa inatafuta Ukweli upi? Usuluhishi upi? Nawaailisha.

hatahivyo

Naunga mkono kamati hiyo bila kuwa na Mh. Lissu.
Huu ni utabiri tu kutokana na mfululizo wa mambo yanavyokwenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom