Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,547
- 34,873
Duh!..Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Duh!..Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Mimi Yanga nilishakubali siku nyingi, tabu ipo upande wa piliBado ni wivu? shida huwa hamtaki kuambiwa ukweli.
For records..edit uzi wako weka update kuwa yote yametimiaNaziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Hivi ulioteshwa mkuuNaziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Ushabiki pembeni.. am curious.! Binafsi niliamini Simba wanaenda kupiga mabomu mochwari hasa nikizingatia Botswana ligi imesimama tangu 2020, na msimu wa 2020/2021 hakukuwa na ligi kabisa!!Timu imejaa wazee wasiojitambua, hawaijui hata game management? unaongoza 3-0 aggragate unafeli wapi?
Napenda shirikisho wapewe muarabu watoke kabisa huko hawana maana.
Mtani upo!? Nawasubiŕi akina OTI!Unatafuta umaarufu kupitia Simba kama yule chawa wa GSM
Unatafuta umaarufu kupitia Simba kama yule chawa wa GSM
Tunamtafuta chawa wa babra mwijaku tumuone akitembea baada ya kolo kupigwa,tunataka tushike tako lake jeusi akiwa anatembea uchiUnatafuta umaarufu kupitia Simba kama yule chawa wa GSM
😃😃😃😃Hapana!
Simba anacheza hatua ya kwanza. Hatocheza tu preminary stage. Timu zitakazofuzu zitapangiwa kukutana na Vigogo ikiwemo Simba. Kisha makundi. Akitolewa anaenda Shirikisho.
Lakini, kwa anachokisema asahau Simba kutolewa hatua za awali. Simba sasa ni lazima afike robo fainali.
Lakini kwa Utopolo, inawezekana kabisa asitoboe. Lakini nawaombea kwa mustakabali wa soka la nchi yetu.
Utabiri umetimia chiefPole kwako