Ile sio Kagame cup mzeeMimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.
Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kukariri nyie nendeni mkasubiri tuwawekee mbelekoBado simba
Watu wa utopolo bana,Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.
Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili kucheza makundi Simba atacheza na nani kwa faida ya wengi?Wewe ndio unaubaka, fuatilia ujue unacheza na nani kutinga makundi. Mbona kila kitu kiko wazi, nn shida baba mkwe?
Hapana mie ni Yanga,lkn mikia wanaweza fika makundiNaziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Kaizer hayupo kwenye mashindano kabisa mkuuMimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.
Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malalamiko fc, kwa hiyo CAF inaipendelea simba?Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.
Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa yanga upo Sawa Ila Simba itafika mbaliNaziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Wewe bila shaka ni utopolo umeona tayari mambo magumu Sasa unajifariji kwamba hata Simba hafiki makundi.Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
TATIZO Manara, tungewaombea watani lkn shida ni Manara, wakishinda mji hautakalika. Si unaona baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali na Wanaija, kwani unasikia kelele mjini. Tulivu kabisa.Hapana!
Simba anacheza hatua ya kwanza. Hatocheza tu preminary stage. Timu zitakazofuzu zitapangiwa kukutana na Vigogo ikiwemo Simba. Kisha makundi. Akitolewa anaenda Shirikisho.
Lakini, kwa anachokisema asahau Simba kutolewa hatua za awali. Simba sasa ni lazima afike robo fainali.
Lakini kwa Utopolo, inawezekana kabisa asitoboe. Lakini nawaombea kwa mustakabali wa soka la nchi yetu.
Hakuna nafasi ya heshima. Mtu kwenye ligi yako uko nafasi ya 8 uko utachezaje kombe la machampioni?Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.
Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app
umeongea ukweli kwasababu wewe unajua vizuri soka hasa hizi timu zetu.Utopolo makini mpo wachache sana.Hapana mie ni Yanga,lkn mikia wanaweza fika makundi
Weka hapa sababu za Simba kutofika hatua ya makundiNaziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.
Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.
Sent using Jamii Forums mobile app