UTABIRI: Simba na Yanga hazitofika hatua ya makundi CAF 2021/22

Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile sio Kagame cup mzee
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa utopolo bana,
Ndo maana mnaongea pumba t humu hamna mnachoelewa,
Huyo kaizer yuko wapi hadi aanzie hatua ya pili unajua kamaliza nafasi ya ngapi kwenye league yao
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaizer hayupo kwenye mashindano kabisa mkuu
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Malalamiko fc, kwa hiyo CAF inaipendelea simba?
 
Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.

Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Wewe bila shaka ni utopolo umeona tayari mambo magumu Sasa unajifariji kwamba hata Simba hafiki makundi.

Mnyama siyo level yenu, nyie bado mko katka hatua ya klabu zinazokua au kuchipukia. Na mkitaka kufanikiwa mkubali hilo mtulie mjenge timu yenu. Poleni Misukule.
 
Hapana!

Simba anacheza hatua ya kwanza. Hatocheza tu preminary stage. Timu zitakazofuzu zitapangiwa kukutana na Vigogo ikiwemo Simba. Kisha makundi. Akitolewa anaenda Shirikisho.

Lakini, kwa anachokisema asahau Simba kutolewa hatua za awali. Simba sasa ni lazima afike robo fainali.

Lakini kwa Utopolo, inawezekana kabisa asitoboe. Lakini nawaombea kwa mustakabali wa soka la nchi yetu.
TATIZO Manara, tungewaombea watani lkn shida ni Manara, wakishinda mji hautakalika. Si unaona baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali na Wanaija, kwani unasikia kelele mjini. Tulivu kabisa.

Hebu fikiria wangeshinda, ule msukule ungehama redio na tv moja kwenda nyingine ukiharisha na kunya hovyo.
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna nafasi ya heshima. Mtu kwenye ligi yako uko nafasi ya 8 uko utachezaje kombe la machampioni?

Simba Ni wakubwa ktk misimu 3 wamefika robo fainali mara 2.

Ila Utopolo alifika fainali kombe la mapinduzi.
 
Sijawaona simba msimu huu, ila kwa hatua inayoanzia na aina ya wapinzani wake, simba kuingia makundi ni suala la kawaida tu, kwenye kuvuka makundi hapo ndipo kazi ipo.
Ila makundi ni costant K
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaizer ligi yao kamaliza wa 8. Na ligi yao inaruhusiwa kuingiza timu 2 ambazo ni wa kwanza na wa pili tu. Kaizer angetwaa kombe mshindi wa pili angetoswa na kaizer angeenda kama bingwa mtetezi. Bahati mbaya hajatwaa kombe
 
Back
Top Bottom