Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,932
- 4,086
Nimeweka uzi huu kuwakumbusha wana Yanga kuwa ule muda wa kucheka umekwisha marabaada ya kupata ushindi kwa mara ya kwanza ktk hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Africa ndani ya miaka 88 toka kuanzishwa kwa klabu hiyo.
Vituo vinavyofuata ni Al Ahly na CR Belouizdad ambao bila ya shaka klabu ya yanga haitaambulia chochote.
Vituo vinavyofuata ni Al Ahly na CR Belouizdad ambao bila ya shaka klabu ya yanga haitaambulia chochote.