UTABIRI: Simba na Yanga hazitofika hatua ya makundi CAF 2021/22

Hahahaha wewe inaonekana mpira unaubaka wala huufuatilii. Simba hachezi preliminary rounds so hapo ushapigwa moja bila. Simba tayari yupo group stages
Hapana!

Simba anacheza hatua ya kwanza. Hatocheza tu preminary stage. Timu zitakazofuzu zitapangiwa kukutana na Vigogo ikiwemo Simba. Kisha makundi. Akitolewa anaenda Shirikisho.

Lakini, kwa anachokisema asahau Simba kutolewa hatua za awali. Simba sasa ni lazima afike robo fainali.

Lakini kwa Utopolo, inawezekana kabisa asitoboe. Lakini nawaombea kwa mustakabali wa soka la nchi yetu.
 
Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.

Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani UEFA ukifika fainali na ukapoteza, afu kwenye ligi yako ukawa wa 8 na ligi yenu inapeleka timu 4 je utacheza hatua ya mtoano kwenda makundi UEFA?
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaizer hashiriki, ulitaka apewe vipi wakati hsjafuzu kushiriki CAFCL?
 
Mimi ni mwana Yanga kindakindaki. Naomba Mungu sana Rivers watutoe. Hii itasaidia kuendelea kuijenga na kuiunda timu yetu.
Kwasasa,Yanga bado sana kimataifa. Na ni muda sana hatujashiriki.....so baada ya msimu huu ndo at list tunaweza pambana.

Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
kaizer hajafuzu kucheza klab bingwa
 
Simba nao....wanaweza wakaingia makundi....ila kwanza wakubali msimu uliopita ilikua fluku.
Wakienda kwa kichwa kuwa wao ni wakubwa,hatua ya kwanza out.

Pia CAF wawe fea,yaani Kaizer kafika hadi final,lakini Simba anaambiwa aanze round ya pili. Wangempa nafasi japo kwa heshima tu ya kufika fainali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni coincidence ya kiwango kikubwa sana kukuta mashabiki wa timu akili zinakuwa zinalingana. au Yanga huwa mnakabidhi akili kwa Eng.Hersi?

Fluk mpaka kuongoza kundi?Fluk ya kumfunga vita nje ndani?fluk ya kumfunga Vita na Kaizer zaidi ya goli 3? Fluk ya mpaka kuuza wachezaji dau la mabilioni?

Hapo ulipohitimisha kuhusu Kaizer ndo kiboko kabisa. Naona lawama zenu zimeingia kimataifa,kutoka TFF mpaka CAF
 
Back
Top Bottom