Gasy wa Ukweli
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 387
- 187
- Thread starter
-
- #61
Huyo wanamkata.. ubunge hapati na mwaka huu wakikukata ukachepuka wanabomoa hadi nyumba zako
Hao aliowabwaga ni sawa tu,si wasaliti hao!Kisiasa Kwa ccm Mrisho bado anakubalika nadhan majibu umeyapata ameongoza kura za maoni.
punguza chuki binafsi za kukosa mashamba sijui ulitaka kulima bangi?
Haaa!haaaah mkuu kura 333 kwa 68 sasa unamkataje aisee? Any way tuwaachie maamuzi kamati kuu!!
uongozi ni kuacha alama
Muda ni kitu kizur sana, tusubiri tutaona matokea, ila bora yake yeye ameshinda kura za maoni tena kwa kishindo kikubwa!!!Haaa!
Inamaana alichokisema mwenyekiti,polepole na Bashiru hujakielewa mkuu? Na leo wameongea tena!
JESUS IS LORD
Maskini Msando yeye na rafikie Bananga chali, Huyu Gambo nae sikutaka kabisa ashinde.😏Arusha Mjini
Mrisho Gambo - 333 ✅
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19
Muongo mkubwa wewe!!! Udini udini udini, kawagawa wapi we muongo???
Wewe ndo Lema??WEWE huna akili, ni mpumbavu
Hamshindi Lema huyu!Utabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Si mpaka ashinde sasaUtabiri wangu, Moja ya vijana wachapa kazi wa CCM uwezi kuacha kumtaja Mrisho Gambo, Arusha ameacha alama kubwa sana kwa uongozi uliotukuka, changamoto za uongozi alizokutana nazo zitakuwa ni funzo kubwa sana kwa nafasi kubwa atakazo kujua kuzipata. Namtabiria kwa serikali inayokuja ataingia kwenye baraza la mawaziri kama Waziri kamili au Naibu waziri.
#Tukutane siku Rais akitangaza baraza la mawaziri.
Huyo wanamkata.. ubunge hapati na mwaka huu wakikukata ukachepuka wanabomoa hadi nyumba zako
Jimbo la Arusha mjini anakalizwa asubuhi mapema tu.tayari Chama kimeshampitisha, usiempenda kaja utapata tabu
Hivi mirembe huna file kweli wewe?Kusimamia ujenzi wa Barabara Arusha, mitaa mingi ya Arusha now ina barabara za lami
Kusimamia mpango wa stand mpya ya Arusha kujengwa kutoka na plan
Ujenzi wa Shule ya Sekondari (Mrisho Gambo Secondary School)
Kusimamia ujenzi wa madarasa na nyumba za maaskari
Kusaidia wafanyabiashara wadogo wadogo bodaboda, wamama wauza sokoni ...etc....
Kusimamia ujenzi hospitali za wilaya.
Project kubwa ya Maji Arusha.
Mambo mengi amefanya watu wa Arusha wataendelea kuyataja.
Hivi mirembe huna file kweli wewe?
Huyu ni kivuruge, akienda mahali lazima mvurugano uwepo!
Ana pepo la utenganisho badala ya malaika wa kuunganisha.
Chunguzeni historia yake
FACT.Wewe unaishi kwa shemeji na mkate wa kila siku uanpata kupitia mali za wananchi zilizoporwa na kuitwa za CCM.
MAGUFULI kwa kinywa chake alisema " amemuondoa Gambo kutokana na kutoelewana na wenzake , yaani mkurugenzi na DC wake, na akasema alitaka kuwapa WAISLAMU uwanja wa wazi pale msikiti wa bondeni pamoja/akijua kwamba kuanzia Mwinyi, mkapa na kikwete walikataa wakasema lile ni eneo la wazi! WEWE huna akili, ni mpumbavu maana unabishana na facts, ingia kwenye nyuzi za humu jf usome sababu za JPM kumla kichwa Gambo, mtu mdini hawezi pewa lile jimbo la Arusha, never
Rilaxx eroo shida nini, mmeutaka huu muziki wenyewe, kazi kwenu kuucheza, yaani kama namuona Gambo siku ya kutangaza mshindi alivyopauka ile midomo..Wewe ndo Lema??
Mjinga kabisa wewe, hao unaosema amewagawa ndio wamempa Kura za awali, Bado mafuriko yanakuja mwana kujinyea wewe!!!
Mtu mjinga akikosa kitu cha kukosoa, hulazimisha ujinga wake uwe sehemu ya werevu!! Kima wewe!!
Usiwekeze kwenye ujinga na majungu yasisiosaidia chochote!!! Koma wewe!!
haaaah mwambie huyo Eroo atulize mpiraRilaxx eroo shida nini, mmeutaka huu muziki wenyewe, kazi kwenu kuucheza, yaani kama namuona Gambo siku ya kutangaza mshindi alivyopauka ile midomo..
Kapewa jimboFACT.