UTABIRI: Kuna uwezekano mechi ya Simba na Yanga ikaahirishwa

Wakuu kwa kinachoendelea kuhusu Covid 19, chonde chonde naiomba serikali yetu sikivu iufute huu mchezo au kama unachezwa uchezwe kusiwe na mshabiki hata mmoja uwanjani

Naandika huku naogopa kwa kinachoendelea kuhusu covid 19 nchini hali ni Mbaya mnooo

Uhai ni bora kuliko huu mchezo wana kigoma wanaenda kuumia kama ilivyo Mwanza sasa hivi

Serikali futeni huu mchezo hali sio nzuri na kingine watu hawavai barakoa

Asante
Acha ujinga.
 
Wapo sio mmoja.Wamekufa watatu,mmoja yuko ICU,wengine wamepona baada ya kukaa kwenye oxygen masaa zaidi ya 8 tena vijana wadogo.Hali ya uviko ni mbaya tukisema ukweli.

Mechi ichezwe bila mashabiki
Mkuu embu tuambie kuna ndugu yako yeyote ndani ya ukoo wenu umesikia amefariki kwa virus vya covid 19 Au tu kuumwa? Au kuna rafiki yako yeyote umesikia kakutwa na hiyo covid 19?

Tusiseme hali ni mbaya halafu hatuoni hali yoyote utafikiri hao wagonjwa tunaoaminishwa wapo hawapatikani uraiani mwetu. Watu wanaenda kariakoo na misongamano kila siku na tunawaona wanadunda tu.

Embu wewe uwe wa kwanza kutuambia mgonjwa uliyemsikia katika eneo lako
 
Nakukatalia mapema kabisa, Simba tukufungwa hiyo mechi haiwezi kuleta vurugu abadan. Haji ni mjinga hata wanasimba washamjua kuwa anatumika, mechi ikiisha anashughulikiwa na Simba kama club itaendelea na malengo yake, kumbuka Simba ya sasa inauongozi makini na mashabiki wa Simba pia wameshapevuka.
Umeandika vema sana. Mashabiki wa simba ni waelewa mno.
Haji hana nguvu ya kuiyumbisha simba, zaidi yeye ndo atakayeyumba.
Kila lakheri kwa Mnyama 25 july huko Kigoma.
 
Wakuu kwa kinachoendelea kuhusu Covid 19, chonde chonde naiomba serikali yetu sikivu iufute huu mchezo au kama unachezwa uchezwe kusiwe na mshabiki hata mmoja uwanjani

Naandika huku naogopa kwa kinachoendelea kuhusu covid 19 nchini hali ni Mbaya mnooo

Uhai ni bora kuliko huu mchezo wana kigoma wanaenda kuumia kama ilivyo Mwanza sasa hivi

Serikali futeni huu mchezo hali sio nzuri na kingine watu hawavai barakoa

Asante
Mmeanza woga, subiri kwanza mnyooshwe 25 july
 
Wapo sio mmoja.Wamekufa watatu,mmoja yuko ICU,wengine wamepona baada ya kukaa kwenye oxygen masaa zaidi ya 8 tena vijana wadogo.Hali ya uviko ni mbaya tukisema ukweli.

Mechi ichezwe bila mashabiki
Wapo sehemu gani hao watu?
 
Mkuu embu tuambie kuna ndugu yako yeyote ndani ya ukoo wenu umesikia amefariki kwa virus vya covid 19 Au tu kuumwa? Au kuna rafiki yako yeyote umesikia kakutwa na hiyo covid 19?

Tusiseme hali ni mbaya halafu hatuoni hali yoyote utafikiri hao wagonjwa tunaoaminishwa wapo hawapatikani uraiani mwetu. Watu wanaenda kariakoo na misongamano kila siku na tunawaona wanadunda tu.

Embu wewe uwe wa kwanza kutuambia mgonjwa uliyemsikia katika eneo lako


Nimepoteza mama,kaka mkubwa ndani ya wiki moja
 
Back
Top Bottom