Usumbufu wa paka mpaka kwenye kitimoto, serikali shughulikieni

Usumbufu wa paka mpaka kwenye kitimoto, serikali shughulikieni

Naona watanzania hatuna moyo na viumbe wasio binadamu(non-human creatures).

Mimi huwa nawapatia kidogo...

Unavyowaonea watoto wa mitaani huruma na kwa hao paka ni kitu kama hicho.
Jinsi binadamu tunavyosongamana nao wanapata tabu kuishi...
Tatizo hata ukiwapa nyama hwatosheki, wanakula wanarudi tena tu kusumbua.
Halafu kitimoto cha kuwalisha paka watatu nitawezeje??
 
Back
Top Bottom