KERO Usumbufu wa mfumo wa chuo (CBE)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kero yangu ipo kwenye mfumo wa chuo Cha elimu ya biashara (CBE) Upande wa account za wanafunzi toka mwezi wa 12 mpaka sasa mwezi wa pili mfumo unasumbua wahitimu tunashindwa kufanya maombi ya vyeti na tuliomba ukifika chuo unaambiwa mtandao unasumbua hovyo tunapata tabu tupo nyumba ya soko la ajira kwa kukosa vyeti. Tafadhari tumechoka jamani
 
Kwanini wasibadilishe utaratibu wa kupata vyeti sio lazima ku request online.
 
Tangu tuhitimu chuo mwaka 2025 mwez 7 mpaka sasa hivi hatujapata vyeti vya kuhitimu na tunapishana na fursa kibao za ajira.

Walimu na wakuu wa idara wamekuwa na majibu ya hovyo.
Wanafanya kazi kwa mazoea mo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…