Usiyoyajua sakata la shamba la Sumaye

Usiyoyajua sakata la shamba la Sumaye

lazima alipe hekari zote ulitaka upeleke wapi? utalalamika unaonewa lakini kama utakua na jingine kama hilo naomba tupewe tulime
 
Waandishi wetu ni Uchwara kweli kweli na Ndio Sababu wamevamiwa na kudhalilishwa na Makonda na baadae wao ndio wakaja kumuomba radhi Mvamizi!

Mwandishi Makini wa Habari ya Kiuchunguzi alipaswa kuelezea Historia ya Awali ya Sumaye kupata Shamba hili na Mgogoro ulioibuka wa Wananchi kupinga Sumaye kujimilikisha Eneo hili kwa jina la Mkewe kwa kutumia nafasi yake ya Uwaziri Mkuu!

Alipora hiki Eneo kutoka kwa Chama cha Ushirika na ililalamikiwa sana Hali hii mpaka kwenye Media na Majukwaa ya Kisiasa lakin Leo kwa unafiki wanajifanya kumhurumia

Shamba la Wizi haligeuki kuwa halali kwa kuw kuna maeneo umelima Lima kuzuga
Ni kweli

Hit direct to the Ntonku
 
Back
Top Bottom