mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
OCD wa Arusha, Zuberi Mwombeji anadaiwa kumiliki kimabavu nyumba moja mjini Katesh, wilaya ya Hanang Mkoani Manyara.
Inadaiwa alipata nyumba hiyo wakati akiwa OC-CID wa hapo Katesh ambapo alimtishia mtu mmoja aliyekuwa na kesi na kumwambia angemfunga na ndipo kwa woga mtu huyo ambaye kweli alikuwa na kosa japo dogo akamwachia nyumba hiyo.
Hivi sasa Zuberi Mwombeji anawapangisha maaskari kwenye nyumba hiyo ya dhuluma na kupata kodi kila mwezi.
Maovu mengi yalifanywa na Mwombeji hapo Hanang huku serikali ikiyafumbia macho kwa sababu Zuberi ni kada wa CCM.
Hii si mara ya kwanza kwa Mwombeji kutukana watu. Wakati wa kampeni za 2010 wana-Chadema waliandamana hadi ofisi za PCCB or Takukuru kwenda kulalamika juu ya rushwa za wazi ambazo wafuasi wa mgombea wa CCM Batilda Buriani walizokuwa wakitoa.
Zuberi alifika pale PCCB Kaloleni na kuwatukana akisema toeni Ujinga wenu "Yaani hawa ni kama ma-mbwa tu!" alijiwa juu na baadhi ya waandishi wa habari waliokuwa pale na akaufyata.
Katika kikao kimoja na waandishi wa Habari, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Isidori Shirima alielezwa juu ya tukio la Mwombeji kufuatwa na Batilda Buriani pale kituoni na yeye Zuberi kupanda kwenye VX ya mgombea huyo ambamo alikaa kwa zaidi ya nusu-saa, ilidaiwa alipewa fungu.
Tuhuma hizo juu ya ndoa ya Mwombeji na Buriani ziliwasilishwa kwa aliyekuwa RPC Basilio Matei ambaye aliahidi kuzifanyia kazi kama anavyoahidi Akili Mpwapwa sasa.
Siku ya mauaji ya raia tarehe 5 january katika kituo cha polisi Zuberi Mwombeji alisikika akijisifu kuwa angewatandika risasi wengi tu "Bahati yao!"
Alikimbia kutoka manispaa ili kuokoa maisha yake siku ya kutangazwa matokeo ya ubunge wa Arusha mjini mara tu alipopata taarifa kuwa yangetangazwa bila kuchakachua.
Baadaye nitawaeleza kuhusu biashara chafu inayofanyika na Zuberi pamoja na maofisa wake wawili pale kituoni Arusha
Inadaiwa alipata nyumba hiyo wakati akiwa OC-CID wa hapo Katesh ambapo alimtishia mtu mmoja aliyekuwa na kesi na kumwambia angemfunga na ndipo kwa woga mtu huyo ambaye kweli alikuwa na kosa japo dogo akamwachia nyumba hiyo.
Hivi sasa Zuberi Mwombeji anawapangisha maaskari kwenye nyumba hiyo ya dhuluma na kupata kodi kila mwezi.
Maovu mengi yalifanywa na Mwombeji hapo Hanang huku serikali ikiyafumbia macho kwa sababu Zuberi ni kada wa CCM.
Hii si mara ya kwanza kwa Mwombeji kutukana watu. Wakati wa kampeni za 2010 wana-Chadema waliandamana hadi ofisi za PCCB or Takukuru kwenda kulalamika juu ya rushwa za wazi ambazo wafuasi wa mgombea wa CCM Batilda Buriani walizokuwa wakitoa.
Zuberi alifika pale PCCB Kaloleni na kuwatukana akisema toeni Ujinga wenu "Yaani hawa ni kama ma-mbwa tu!" alijiwa juu na baadhi ya waandishi wa habari waliokuwa pale na akaufyata.
Katika kikao kimoja na waandishi wa Habari, aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Arusha Isidori Shirima alielezwa juu ya tukio la Mwombeji kufuatwa na Batilda Buriani pale kituoni na yeye Zuberi kupanda kwenye VX ya mgombea huyo ambamo alikaa kwa zaidi ya nusu-saa, ilidaiwa alipewa fungu.
Tuhuma hizo juu ya ndoa ya Mwombeji na Buriani ziliwasilishwa kwa aliyekuwa RPC Basilio Matei ambaye aliahidi kuzifanyia kazi kama anavyoahidi Akili Mpwapwa sasa.
Siku ya mauaji ya raia tarehe 5 january katika kituo cha polisi Zuberi Mwombeji alisikika akijisifu kuwa angewatandika risasi wengi tu "Bahati yao!"
Alikimbia kutoka manispaa ili kuokoa maisha yake siku ya kutangazwa matokeo ya ubunge wa Arusha mjini mara tu alipopata taarifa kuwa yangetangazwa bila kuchakachua.
Baadaye nitawaeleza kuhusu biashara chafu inayofanyika na Zuberi pamoja na maofisa wake wawili pale kituoni Arusha