Usiyoyajua kuhusu madirisha ya ndege

Usiyoyajua kuhusu madirisha ya ndege

Tupe story in details

Tulikuwa kwenye shughuli ya kupulizia dawa za kuua ndege waharibifu wa mazao maarufu kama kweleakwelea,mshkaji wangu yeye ndio fani yake akaniambia na mimi nipande nikashuhudie zoezi,huko juu angani nilipata vizunguzungu sio vya nchi hii kwani kile kidege kinageuka geuka balaa,mara mgeukie chini,mara juu,mara mkaribie kuuparami mlima,yaani kama una ugonjwa wa presha kidege kikiland hukawii kuwa tayari umesha R.I.P

Halafu nilikuwa nikiwaza ule umbali tuliokuwepo hlafu chombo kinafeli,balaa zito mzeebaba,ni juu sana ya milima mirefu yenye makorongo na mabonde
 
Kuna kipindi mtu anataka anunue mantonga,mikusu au embe sindano na mayai ya kuchemshwa unakwama kabisa.Hii siyo haki!Na ndiyo inasababisha nisipande zile ndege za Magufuli nyembamba kama mkojo wa asubuhi.
Hapa ndio akili zako zimefika...unapewa elimu ili ujue na uongeze maarifa unaleta ujuha wako.
 

Attachments

  • b.png
    b.png
    224.1 KB · Views: 6
  • a.jpg
    a.jpg
    36.2 KB · Views: 5
Hahahahaha choo cha kike Mpwa


Kama madirisha ya ndege ni kama tundu la choo cha kike na abiria ni kama mav* ya kike???!!----- unatakiwa uwe muangalifu sana na mlinganisho wako.🤣
 
Ushamba mzigo siku nikipata trip ya kusafiri kwa ndege nitaomba kupewa nusu kaputi, nikiamka niwe nimeshafika.
 
Nilipewa lifti pale arusha to loliondo sitosahau kindege kilikua kidotgo utesama umepanda vile vigari mgongo wa chura naisi nilijikojolea ktk ile safari maana kuna muda kilikua kinapigwa upepo kinayumba
 
Back
Top Bottom