Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 24,091
- 29,524
Wewe umewahi kuona madirisha ya ungo!Acha fix
Wewe umewahi kuona madirisha ya ungo!Acha fix
Ukiwa angani kuna view nzuri sana, milima, mawingu, bahari, makazi hasa usiku taa zikwaka.Sasa dirisha likiwa kubwa unataka kumuona nani huko mawinguni maana huwezi hata kumpungia mtu juu huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hakuna atakaye kuona kama umepanda ndege.
TAKIBIIIR....!Mademu..
Huko angani si ndio kuna wale mademu tunaosimuliwa na Sheikh Hilary Kipozeo.........
Dennis BergkampSijawahi kupanda ndege.lakini sijui kwanini naogopa kupanda ndege..
Na wala uwa sitamani
Unadhani kila muda ni wa kilimo cha ujinga?Muda mwingine uwe una relax.Kenge we!😂😂😂😂Hapa ndio akili zako zimefika...unapewa elimu ili ujue na uongeze maarifa unaleta ujuha wako.
Mi nadhani wakimuwekea hiyo option rubani,kuna uwezekano akawahi kuiject mapema huku akiwaacha abiria bila ya msaada wowote,kinachotakiwa ni rubani kuwahangaikia abiria mpaka hatua ya mwisho kabisa ndio yeye ajiokoe...Kwann kwenye ndege za abiria hamna option ya rubani kufyatua kiti kujiokoa au kufunua mfuniko wa chini kuokoa abiria endapo mambo yakienda kombo angani?
Maana kwenye ndege za kivita wanajiokoa Sana, kwann isiwe ivyo kwny za abiria?