William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Hakuna point ata moja
umasikini sio kasoro. Masikini wa mzazi usimuhukumu mtoto
kuhusu Kabira wewe mwehu kweli ashumu wahaya , wanyaturu, woote wasiolewe sa wasomi watoke wapi. dharau za kurithi bila kutathimini.
Unajua huenda umejitathimini wewe tu ukaanza kumwaga pumba.
Je Mzinzi akaoe mtu aliyetulia?
Kila mwanamke duniani ana aina ya mwanaume anayefaa kumuoa mf mzinzi + mzinzi
au mwizi kwa mwizi
mkolofi kwa mkolofi
mlevi kwa mlevi
au mlevi kwa baamedi
handsome kwa beautful kikubwa mrandane sura tabia na uwezo wa kufikiri.
Mtoa mada unatakiwa kuoa alieishia darasa la pili una uwezo mdogo mno wa kuchambua mambo.
Wanasaikolojia tunaamini kila tabia mbaya inatiba
umasikini sio kasoro. Masikini wa mzazi usimuhukumu mtoto
kuhusu Kabira wewe mwehu kweli ashumu wahaya , wanyaturu, woote wasiolewe sa wasomi watoke wapi. dharau za kurithi bila kutathimini.
Unajua huenda umejitathimini wewe tu ukaanza kumwaga pumba.
Je Mzinzi akaoe mtu aliyetulia?
Kila mwanamke duniani ana aina ya mwanaume anayefaa kumuoa mf mzinzi + mzinzi
au mwizi kwa mwizi
mkolofi kwa mkolofi
mlevi kwa mlevi
au mlevi kwa baamedi
handsome kwa beautful kikubwa mrandane sura tabia na uwezo wa kufikiri.
Mtoa mada unatakiwa kuoa alieishia darasa la pili una uwezo mdogo mno wa kuchambua mambo.
Wanasaikolojia tunaamini kila tabia mbaya inatiba