Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

Hapo namba tano ni ubaguzi je?maskin kwa maskin wakioana maisha yataenda?japo kuna kaukwel kuwa maskin atakuexploit, but life is not fair
 
kaka japo statement yako haina logic ila ni ukweli mtupu,waache wasisikilize la mkuu
 
huyo aliyepost hii thread hana akili kabisa watu wameoa machangudoa na wameishi nao vizuri sembuse mifano aliyoitaja!
unaweza kumuoa mtoto wa mchungaji au shaehe mambo yakawa ndivyo sivyo si tumewaona waliooa matajiri mziki wao! acha ushamba wewe mke unamshape bana japo wapo ambao wanashindikana kama wazaramo na kwenda ngomani hata ufanyaje lazima ataenda!
 
You wish hata kama mie sio mamako walau ningekuwa mkeo ama mkweo. Too late, i am taken for good ooh.
Mie mapinduzinyalipinduliwa kuanzia kwa babangu sasa, utashaaa hapo. Ni roho ya kimaskini sana kuhisi unaibiwa aisee. Utakuwa unahesabu finyango afu ugeuke kenge maji. Shauri yako!
Nahisi kuna moja inakuhusu pale...... NIMEJARIBU KUWAZA WALE WAMAMA WALIOKWENDA BEIJING AU WALE WALIOOGANAIZI ULE MKUTANO, WATOTO WAO WA KIKE WAPOJE... SIJAPATA PICHA....
 
Hahahaha hapo kwenye wahaya bana nadhan yalishamkumba loh

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tupo kwa ajili ya kusaidiana hivyo achana na mawazo ya ubinafsi, huu ni mtazamo wake juu ya kuoa kama una wa kwako tofauti na huu toa tujadili. Jinsi ulivyouliza hili swali inaonyesha wewe ni mbinafsi na usiyejali, acha tabia hiyo.
Wewe unaejali na usie mbinafsi umefanya nini cha ajabu kunizidi?
 
Msingi mkuu wa kuoa mwanamke nitabia yake binafsi, kama yeye anatabia njema na maadili na weweunampenda kwa dhati kutoka moyoni (from bottom heart) na yeye anakupenda kwa dhati kabisa na mmekualiana mambo yote yamsingi yahusuyo ndoa basi oa mwanamke huyo bila kujali anatoka wapi, nani ndugu zake, ndugu zake wananini, ndugu zake wanatabia gani, baba au mama anatabia gani. katika ndoa yenu weka mkataba wakudumu milele unaoeleza mambo yote ya ndoa na mipaka ya ndoa na ndugu zake.

Mfano mimi mwenyewe nimeoa mwanamke familia yao masikini sana ndoa yangu ipoimara sana inamiaka kumi na tatu .kinachotakiwa wewe mwanaume saidi upande wako pia saidia upande wa kike, kama hawana nyumba wewe ndiyo wakuwajengea , kama wanamatatizo wewe ndiyo wakuwatatulia , watajua umhimu wa wewe na dhamani yako hakika ndoa yako itakuwa salaama na upande wakike watailindi kwa sababu wanapata faidi
 
yani umeongea true bestito ungekuwa karibu ningekupa high 5 na kukukiss kabisa yani we acha tu

ingekua mwanamke ndo kasema usiolewe na mwanaume maskini hapa kusingekalika..
Back to the topic:
kama ingekua ni bungeni ningepinga asilimia 500
hivi ulishawahi kufikiri jinsi watu wengine hawapendi the mistakes made by their parents na wanajaribu kurectify kwenye maamuzi yao?
Sikatai mazingira yana effect kubwa kwenye maisha ila kama makosa ya wazazi yangetumika kujudge watoto dunia ingekua haikaliki kwasababu hakuna mtu chini ya jua ambae hana kasoro..
Unaoa mtu,sio familia nzima..na kama unajiona msafi saaana,try making your own
Chukua muda wako na umjue mtu kama binadamu sio vingne.
 
Wewe unaejali na usie mbinafsi umefanya nini cha ajabu kunizidi?
Nimekuelimisha ili ubadilike na uachane na tabia hiyo ambayo haipendezi katika jamii, unaposaidiwa elimika usiwe mbishi.
 
sijakuelewa unamanaanisha nini ndugu au umeamua kuniquote tu ili ulete majanga hapa?
ingekua mwanamke ndo kasema usiolewe na mwanaume maskini hapa kusingekalika..
Back to the topic:
kama ingekua ni bungeni ningepinga asilimia 500
hivi ulishawahi kufikiri jinsi watu wengine hawapendi the mistakes made by their parents na wanajaribu kurectify kwenye maamuzi yao?
Sikatai mazingira yana effect kubwa kwenye maisha ila kama makosa ya wazazi yangetumika kujudge watoto dunia ingekua haikaliki kwasababu hakuna mtu chini ya jua ambae hana kasoro..
Unaoa mtu,sio familia nzima..na kama unajiona msafi saaana,try making your own
Chukua muda wako na umjue mtu kama binadamu sio vingne.
 
angalia, tazama, ona, chungulia na kuwa makini kwa yule unayetaka kumletea majanga humu cc usikurupuke hovyo kufanya kitu ambacho wengine hawaelewi mtazamo wako take care
ingekua mwanamke ndo kasema usiolewe na mwanaume maskini hapa kusingekalika..
Back to the topic:
kama ingekua ni bungeni ningepinga asilimia 500
hivi ulishawahi kufikiri jinsi watu wengine hawapendi the mistakes made by their parents na wanajaribu kurectify kwenye maamuzi yao?
Sikatai mazingira yana effect kubwa kwenye maisha ila kama makosa ya wazazi yangetumika kujudge watoto dunia ingekua haikaliki kwasababu hakuna mtu chini ya jua ambae hana kasoro..
Unaoa mtu,sio familia nzima..na kama unajiona msafi saaana,try making your own
Chukua muda wako na umjue mtu kama binadamu sio vingne.
 
yaani the way ulivyoandika unaoneekana umetokea pande zile................. unzijua mwenyewe. pole wawezakuta na wewe pia ulikimbiwa na baba yako je usioe?
 
Back
Top Bottom