Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,643
- 1,175
sasa mkuu mbona unamponda sana Kijana?Ushauri kama huu haujengi bali unabomoa,,Kwani mtu kuishia form 4 ndio asiwe anatoa yake ya moyoni?Na hata kama uwezo wake wa kufikiria ni mdogo basi wewe mwenye uwezo mkubwa utakua umemuelewa vizuri zaidi..Umesema pia Amepitwa na wakati ni sawa coz siyo watu wote wanapata nafasi ya kuji expose na vitu kama hivyo kama ilivyo kwa upande wake....zaidi ya yote UMESOMA LAKINI ELIMU YAKO HAIKUSAIDIIUmevurugwa mkuu japo una point lakini umeshindwa ku present nina wasiwasi na elimu yako(uandishi wako hauna logic na hata hizo spelling ni za watu wa facebook) pili uwezo wako wa kufikiria-umeshutumu sana bila ushahidi wa kutosha au bila kuelezea mwisho kabisa...zaidi ya yote UMEPITWA NA WAKATI
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums