Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

Jamani hapo kwenye umaskini inabidi tugawane, sasa tukiwaacha hao wanaotoka familia za kimaskini wataoeleka na kina nani?
 
umefanya COLLECTIVE PUNISHMENT, mfumo huu wa adhabu siyo mzuri sana tena hasahasa katika zama hizi. kuamini kilichoandikwa na mtoa mada kunaweza kwenda sambamba na ukiukwaji wa haki ya mtu mmoja mmoja so nachelea kukubaliana nae
 
Hakuna point ata moja

umasikini sio kasoro. Masikini wa mzazi usimuhukumu mtoto

kuhusu Kabira wewe mwehu kweli ashumu wahaya , wanyaturu, woote wasiolewe sa wasomi watoke wapi. dharau za kurithi bila kutathimini.

Unajua huenda umejitathimini wewe tu ukaanza kumwaga pumba.
Je Mzinzi akaoe mtu aliyetulia?

Kila mwanamke duniani ana aina ya mwanaume anayefaa kumuoa mf mzinzi + mzinzi
au mwizi kwa mwizi
mkolofi kwa mkolofi
mlevi kwa mlevi
au mlevi kwa baamedi
handsome kwa beautful kikubwa mrandane sura tabia na uwezo wa kufikiri.

Mtoa mada unatakiwa kuoa alieishia darasa la pili una uwezo mdogo mno wa kuchambua mambo.

Wanasaikolojia tunaamini kila tabia mbaya inatiba

hahahaa....! Ati... Mtoa mada akaoe??

Majanga!!!!!
 
kwani mtu akikosea wewe inakuuma nini?

Tupo kwa ajili ya kusaidiana hivyo achana na mawazo ya ubinafsi, huu ni mtazamo wake juu ya kuoa kama una wa kwako tofauti na huu toa tujadili. Jinsi ulivyouliza hili swali inaonyesha wewe ni mbinafsi na usiyejali, acha tabia hiyo.
 
sijui labda muulize mtoa mada hapo atakueleza mana hata mwandiko wake waonekana wa kitoto kabisa na wala hajafanya utafiti wowote hapo sijui.........................?
Mh...kabaki nani sasa??!
 
aah wapi napinga hoja asilimia 100, kwahiyo masikini waolewe na maskini wenzao ili iweje?
Mali zinatafutwa bro,ucmhukum m2 kutokana na umaskin wa wazaz wake
 
Unaweza kuchagua rafiki lakini sio Wazazi(familia)""marriage happens by Chance not by Choise"l
Fikiri Tofauti.%
 
wewe mtoa mada nadhani una matatizo ya kiakili unatakiwa kupmwa akili yako kwanza yaelekea hujawahi pitia matatizo na uenda matatizo ya kisarufi pia nimekuchunguza naona uliishia darasa la umande wewe maana huo mwandiko utafikiri wa chekechea na kiswahili cha kandete upcountry yaani inabidi tumwambie Lady doctor akutibu maradhi ya kiakili halafu uje kwangu nikufanyie canselling kwani wahitaji msaada zaidi, huwezi sema kuwa mtu maskini hawezi kuolewa na tajri au tajiri hawezi kumuoa maskini ambaye wazazi wake ni maskini, wewe unaujua upendo wa agape kweli? au unafikiri kimtazamo tu? unajua kuwa ndoa iliwekwa na Mungu na ndiye msingi wake? unajua ndoa ni kati ya wawili wapendanao na walioambiana kuwa wataishi pamoja katika raha na shida? Iweje wewe ujifikirishe bila hata kuchambua? ndo mana nasema njoo tukushauri kwani umeathirika kisaikolojia
 
yani umeongea true bestito ungekuwa karibu ningekupa high 5 na kukukiss kabisa yani we acha tu
aah wapi napinga hoja asilimia 100, kwahiyo masikini waolewe na maskini wenzao ili iweje?
Mali zinatafutwa bro,ucmhukum m2 kutokana na umaskin wa wazaz wake
 
Mwanaume wa aina yako ndo hafai kabisa! Mwanamke akuibie ina maana yeye anakuwa hana hela ama? Tupishe sie!
Nahisi kuna moja inakuhusu pale...... NIMEJARIBU KUWAZA WALE WAMAMA WALIOKWENDA BEIJING AU WALE WALIOOGANAIZI ULE MKUTANO, WATOTO WAO WA KIKE WAPOJE... SIJAPATA PICHA....
 
Ushauri wazo sio mbaya japo una mapungufu kwenye namba 5 na 6. Tena kuwasema vibaya Wahaya hapo ndio utatukanwa sana.
 
Kwahiyo mimi nitegemee mabaya yatanitokea hapo baadaye? mimi ndoa yangu ina miaka 6 sasa na mke wangu kanizidi Elimu na sina mpango wa kusoma mpaka nimfikie kwasababu Elimu niliyonayo inatosha sana kwa shughuli zangu.
 
Back
Top Bottom