Unachosema ni sahihi kabisaaaaaaa! Mimi nilinunua umeme tsh 15900 mwezi wa nne mpka leo sijaona mwanga wala nini mpaka mnilipoenda kwa wakala anae uza luku akaniuzia tena ndo nikapata mwanga.Wakuu yaliyo nikuta leo ni majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.
Sio m pesa tu. usitumie VODACOM kabisa. ni majambazi wa mchana. Hebu jaribu kununua kifurushi cha wiki uone mchezo wa voda.
halafu hata kama ulikatwa sevice charge kwa kununua LUKU kwa namna nyine, nao wanakataWakuu yaliyo nikuta leo ni majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.