Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

Luku tu. hata kuweka fedha kwenye simu. mara nyingi utahitaji usubiri sana. wakati mwingine utaambiwa nenda tu message itakuja
 
Voda nao wameanza utapeli. hata ofa zao nizakitapeli sanaangalia Supa cheka wanavotuibia. Hii nchi haina mwenyewe
Wakuu yaliyo nikuta leo ni
majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo
pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima
linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.
 
imeshawai nitokea toka nimenunua nikakaa cku 3 ndo nikatumiwa unit so kama ndo umekata alafu unasubir umeme wa ivyo umeliwa!!!!!!!
 
Na isipokubali apake mafuta.
Juzi nimetoka kugombana na jamaa mmoja mwenye kutoa huduma ya M-Pesa baada ya kununua umeme, eti ananiambia tayari ameshaniingizia! kama sio wale jamaa wanojiita Askari Jamii sijui ni nini kingetokea!
 
Juzi nimetoka kugombana na jamaa mmoja mwenye kutoa huduma ya M-Pesa baada ya kununua umeme, eti ananiambia tayari ameshaniingizia! kama sio wale jamaa wanojiita Askari Jamii sijui ni nini kingetokea!

Acha uoga wewe. Yaani mtu anakuambia neno jepesi hivyo unataka kupigana! Au ulihisi kuna kitu kinakuingilia taratibu nini!:smiling::smiling:
 
voda bureeeeee sanaaaaaaaaaaaaaaa,hata mie hilo limenikuta wakubwa,isipokuwa mimi ilinichukua saa mbili unusu kuupata,bahati nzuri nilinunulia jioni saa 11 hadi mida ya saa moja wakanirushia,na ni umeme wa luku nyumba ya kupanga watu walianza kusema nimekunywa pesa yao,kazi ni kwako
 
voda bureeeeee sanaaaaaaaaaaaaaaa,hata mie hilo limenikuta wakubwa,isipokuwa mimi ilinichukua saa mbili unusu kuupata,bahati nzuri nilinunulia jioni saa 11 hadi mida ya saa moja wakanirushia,na ni umeme wa luku nyumba ya kupanga watu walianza kusema nimekunywa pesa yao,kazi ni kwako

hahahahaaaa,,,kuna mdau anadai ilichukua 5 deiz je ungeeleweka?
 
Sijapata tatizo hilo na tigo pesa. Next time try tigo pesa.
Wakuu yaliyo nikuta leo ni majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.
 
Wakuu yaliyo nikuta leo ni majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.
Pole sana.
Lakini hii sentensi kununua umeme kwa tigo imekaa vibaya, ni bora umenunua kwa mpesa.
 
Tigo wako fasta sana

Tigo ni wababaishaji hakuna mfano. Mimi nilinunua kupitia tigo pesa nilikaa wiki mbili bila kutumiwa umeme wala kurudisha pesa, kibaya zaidi wahudumu wao bado ni primitive hawajui customer care.Pia uzembe mkubwa uko TANESCO.
 
la msingi ni kununua kwenye vending station tu,hizi nyingine kama voda,tigo n.k ni matatizo.ushauri wangu ni kua nunua umeme kwa njia hizo kama huna uharaka wa kuitumia huduma hiyo,otherwise utawalaum sana tanesco wakat kuna vending station nyingi tu ukinunua unapata umeme wako hapo hapo.
 
Nilinunua kwa tigo pesa tangu 15/12 mpaka leo bado sijapata umeme.
 
Back
Top Bottom