Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,945
Reaction score
4,499
Wakuu yaliyo nikuta leo ni majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.
 
Mpwa nakushauri ulale. Hiyo makitu utatumiwa kesho kutwa. Huamini? Subiri uone.
 
Hawa voda hawafai king'asti wangu anasema nmb mobille wazuri sana dk.5 umeme umepata
 
Mpwa nakushauri ulale. Hiyo makitu utatumiwa kesho kutwa. Huamini? Subiri uone.

Nimeamini nimenunua kwa nmb mobile fasta dk.2 nimepata unit na umeme huo.
 
hata airtel, sekunde chache umeme umepata.
 
Wakuu yaliyo nikuta leo ni majanga kweli nimerudi home LUKU imekata nikshauriwa ninunue kwa tiGo pesa nikawapuuza wadau nikaamua kununua m- pesa mpaka sasa ni saa zima linakatika sijapata umeme. Nasikilizia tu giza totoro.

Pole mkuu!
 
Pole sana, ....wenzako tulinunua tukapata baada ya sikuu 5, siku hizi najitembelea tu kwenda kununua mwenyewe
 
Sijajua uko wapi lakini kama ni Kinondoni cheki na namba hii ya Tanesco kama zishafika huko 0768 985 100. Niliwahi kupata tatizo kama lako wakanisaidia.
 
Ukinunua usiku ni lazima ichelewe kuja kwani usiku kuna watumiaji wengi! Hivyo ili kuondoa dhana ya kwamba voda wako slow nunua mchana au asubuh.
 
ule muda wa maongezi ndo ulikufanya usiwasikilize walikuambia ununue kwa tigo!
 
Back
Top Bottom