mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 539
Mkuu, kama nyumbani kwako ulikuwa unakula mboga moja, ukioa mnyakyusa utakula hata mboga nne kwenye mlo mmoja. Nawafagilia sana dada zangumhhhh vipi wachaga na wakinga kwenye utafutaji naona wapo juu zaidi ya mnyakyusa