Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Wanyakyusa wapi unaowazungumzia ?bse wapo wa kyela na watukuyu..
 
Maisha ya sikuhizi yako tofauti na zamani,tabia za binadamu toka kabila moja hadi lingine haziko tofauti sana.Inategemea na mtu mwenyewe.Ila nawapa big up wanyakyusa
]
Kwa wnawake wanao jishuhulisha kwa tanzania sijaona zaidi ya wanawake wa kikinga na wachaga igawa kwa wachaga sio wa maeneo yote
 
dharau tunazo kabisaa tena mimi mmoja wapo na kazi tunafanya vizuri ndoa tunavunja kama wewe mwanaume suruali mbona utaisoma lakini kuna aina mbili za wanyakyusya wa kyela na wa tukuyu wa kyela ndio tunaongoza kwa dharau wa tukuyu wapole sana halafu pia tunapenda sana shule tunaweza tukawa tupo top 3 kwa makabila yote.ila wanyakyusa wakarimu sana sana sana.
 
Wakinga ndio nouma kwakweli katika zungukanyangu yote nchi hii.

hawa sasa ndio kiboko kwa uchawi ole uwaibie mtakufa ukoo mzima na hawaanz na wewe wanaanza mtu wa mbali kabisa kikoo wote mnaisha hawa watu mbeya wamejaa mwanjelwa kwa kuwa na maduka.
 
Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.
>mke wangu ni mnyakyusa najuta kweli;
*kitandani hovyo
*ulevi
*rough
*un~neat
*openly prostitute
>seriously I hate this tribe only children unite us
 
Kwa wnawake wanao jishuhulisha kwa tanzania sijaona zaidi ya wanawake wa kikinga na wachaga igawa kwa wachaga sio wa maeneo yote
utakuwa huajui vizuri wanyakyusa wanawake ni liberated long time aisee very hardworking women
 
Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.

A mnyakyusa woman. very enterprising hard work. very many words like mzaramo. hut not very good it give neighbour her household in private parts
not trustful enough.
 
Wakinga ndio nouma kwakweli katika zungukanyangu yote nchi hii.

wanawake wa kikinga hawasimami wenyewe kama wanyakyusa wao siku zote wanabuild on kwenye biashara ya ukoo,tofauti na wanyakyusa wanaosimama wenyewe kama wanawake
 
Mie Mndali, jina linajieleza. Wanyakyusa wa Kyela ndio tabu sana, Tukuyu huko wanyenyekevu hadi utaona aibu. Washika dini sana na kama umekutana na gumegume wewe utakuwa mwenye bahati mbaya sana yaana katika gunia la dhahabu umeokota jiwe?
 
>mke wangu ni mnyakyusa najuta kweli;
*kitandani hovyo
*ulevi
*rough
*un~neat
*openly prostitute
>seriously I hate this tribe only children unite us
Arooo!
Acha ukabira , hujui leo siku ya Muungano!!!
Halafu ulisakiziwa house girl au vipi? Kilichokuingiza mkenge nini?
Lazima utakuwa Asumani gume gume!
 
wavunja ndoa sana hao,ukisafiri wiki moja tu lazima amurete joti chumbani hawafai washenzi hao,nandio mana wanaongoza kuuza bar na grosari na (mbunye)wanauza

sina hakika kama utafiti wako umejitosheleza, unaposema wanyakyusa ni wauza bar sio kweli bal inategemea na mazingira, mfano unapozungumzia jiji la Dar asilimia 99 ya wauza baa ni akina Manka a.k.a wachaga. vivyo hivo pita ucku madada poa wengi ni hao hao. Pia wakinga sio watafutaji bali waamin ushirikina sana. hiv kumuua mama yako ili upate hela nako ni kujisifu kuwa unatafuta?
 
Back
Top Bottom