Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Tatizo Mnaoa Waandali Mnaita Wanyakyusa, Mnyakyusa Mzuri Asikuambie Mtu, Ndio Maana Mimi Nimezunguka Sana Ndani Na Nnje Ya Nchi, Lakini Ulipofika Mda Wa Kuoa Nililudia Asili Yangu, Tukuyuu, Na Mke Wangu Ni Mzuri Asikuambie Mtu, Nampenda Sana Mke Wangu, Fhalida.
 
dharau tunazo kabisaa tena mimi mmoja wapo na kazi tunafanya vizuri ndoa tunavunja kama wewe mwanaume suruali mbona utaisoma lakini kuna aina mbili za wanyakyusya wa kyela na wa tukuyu wa kyela ndio tunaongoza kwa dharau wa tukuyu wapole sana halafu pia tunapenda sana shule tunaweza tukawa tupo top 3 kwa makabila yote.ila wanyakyusa wakarimu sana sana sana.

Hapa nakubali nimekutana na vijana wa mbeya mashuleni na vyuoni yani records zao za ufaulu hazijawahi vunjwa mfano ni TO wa 2003 f6 Emily Patrick na ukoo wote wapo ivyoivyo.

Pia ubora wa uprofesa wa Mark Mwandosya hakuna anayemfikia kwa kiwango chake hata kikwete mwenyewe kaamua kumpa waziri wa wizara zote.

May be anayemfikia ni prof Mathew Luhanga wa pale Udsm CoET akifundisha vijana wa Telecom,Electronics na yy anamkiri huyo jamaa.

Namie nina mchumba wa kinyakyusa wkt nikiwa sina job ndo alikuwa ananipigania kwa kiasi kikubwa mpaka nikapata job.

Wanapigana sana na life kiukweli.hana maneno mengi yani sio waongeaji kama mie.

Sema sijajua kama ni wa kyela au Tukuyu.
 
Ah wanawake wa kinyakyusa ni Malaya sana,ni shida sana kuwa na mnyaki
 
mhhhh vipi wachaga na wakinga kwenye utafutaji naona wapo juu zaidi ya mnyakyusa

Hao ni mabahili siyo watafutaji,yaani akiata jataki kitoke,naona km ipo tofauti kati utafutaji na ubahili,japo ubahili ni moja ya mbinu za kufanikiwa
 
Mie nimeshawamwaga kama wanne hiv kipindi nipo mby city...they knw how to love,they are hardworkers tatizo ni wabishi sanaaaaa.Pia wanapenda kutawala vibaya mno

Mkuu umeongea ukweli mtupu,mi ninae japo anamchanganyiko wa kibena,hayo yote unayoyasema ndo nnayaona ndani ya ndoa yng,ila hayo yanategemea na kichwa chako,km ni lege lege mzee ni shida,usinge acha ungetafuta nafasi sahihi ya ww km mwanaume kukaa na ungeona mambo yanavojipa bro,
 
Mama Christopher mbona unacheka sana? Umefurahia kwakuwa na wew ni mnyakyusa
 
Tatizo Mnaoa Waandali Mnaita Wanyakyusa, Mnyakyusa Mzuri Asikuambie Mtu, Ndio Maana Mimi Nimezunguka Sana Ndani Na Nnje Ya Nchi, Lakini Ulipofika Mda Wa Kuoa Nililudia Asili Yangu, Tukuyuu, Na Mke Wangu Ni Mzuri Asikuambie Mtu, Nampenda Sana Mke Wangu, Fhalida.

Jina tu kweli wewe ni wa tukuyu njia kwenda lwangwa etata afwiiile umundu
 
Umedhalilisha mwanamke wa kinyakiswa. "Cyber crime law" itakutafuna.
 
wanadharau, wabishi, wagawaji,,, "wee niangusyage tu, si syiambi syako mwenyewe" Atuganile huyo!! Mbombo Ngafu,,
 
Hiv thread kama hii imefikaje page ya 17?

(tukiassume kabila linaapply kwenye ubora wa mke) basi wanawake wa kinyanyusa ni miongoni mwa wanawake hovyo kabisa kuoa.

Wife material wapo jirani zao pale Njombe, Wabena.
 
Aisee... Nimesoma thread nzima. Duh, hoi.
 
Back
Top Bottom