Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Mi sio mnyakyusa ingawa nimezaliwa Meta hospital na kukulia Isanga. Hivi kwa nini huwa mnawachukia sana wasafwa na wao wanawachukia nyie?
Cc: Idimi, Baba V

Mwana wani wasafwa ni watani wetu, ugomvi wetu ulianzia miaka mingi iliyopita pale wanyakyusa tulipokuwa tuna expand kuelekea pande za Mbeya kutokea tukuyu.
 
Mnyakyusa hata unipe bure na milioni moja juu sichukui ni malaya wa kupindukia,alafu wanatoroka na watoto hasa ukiwa sio kabila lake,alafu watoto wanapachikwa majina ya kinyakyusa na kuongea lugha ya kinyakyusa badala yt
a lugha ya baba.yaani hovyooooo! Mabasha zake watakuja hadi kwako unadangwa kaka zangu.nimewala sana wanyakyusa kama 21 nawajua sanaa! Alafu ni wanafiki.

Ukabila na mfumo dume vitakuua wewe! Wamekukomesha!
 
Mie nimeshawamwaga kama wanne hiv kipindi nipo mby city...they knw how to love,they are hardworkers tatizo ni wabishi sanaaaaa.Pia wanapenda kutawala vibaya mno

We are born to be leaders jamani...yaani inatokea automatically zoeeni tu..kama mambo ya msingi unapata hizo nyingine fumba macho..
 
kwamaisha unayoishi ya ndoto za mchana huwez kuishi na mnyakyusa..... Wale hawataki ubabaishaji kama ulivyo ww.... Na akishajua ni mwanaum suruali kama ulivyo ww anaweza kukuzaba vibao kabisa...... Wale wanataka mtu anayejitambua na sio anayeishi kwa ndoto za kuwa na maisha mazur wakat kaz yake ni kula kulala na hata uwezo wa kupata elfkumi huna kama ww

Ndagha!
 
Moja ya wanawake wenye matumizi ya hovyo ya hela ni wanyakyusa. Ukienda kwa mkinga ukamuongelea kuoa mnyakyusa anakufuta kwenye ukoo.!! Wakinga kibao ambao walioa wanyakyusa walifirisika na mambo yao kwenda hovyo! Huwa hawawezi kula maharage wakati hela IPO, wao ni nyama tuu na mapochopocho mengine!

Mnatafuta hela za nini kama hamuwezi kuzitumia..mnazichungulia kwenye kibubu/akaunti loo! wakinga tunawasikia hela zenu zina masharti mazito!
 
Mie kk kwetu ila mmenitukania dada zangu hapa sijafurahia.
 
Kiukweli wanawake wengi wa KINYAKYUSA wana sura NGUMU MNO. na mishepu ya ajabu ajabu. Nafikiri mazingira waliyokulia na ndizi zinawaharibu sana.
 
Mie kk kwetu ila mmenitukania dada zangu hapa sijafurahia.

Mliosoma Rungwe enzi za Tende na Mwalituke, mpo hapa? Tukumbukane
 
Ndagha Fijo! Kina dada toka mkoa wa mbeya kwa mauno mpo juuuuuuuu!!! SALUTE kwenu
 
Wanykyusa wote wanaroho mbaya sana sio wa kyela wala tukuyu. Roho zao ni nyeusi kama sura zao zilivyo ila hujifanya wakarimu machoni.
Kwa mnyakyusa utapokelewa kwa namna ile ile unayoingia nayo.
 
Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.

tihitihitihitihiiiii
 
mhhhh vipi wachaga na wakinga kwenye utafutaji naona wapo juu zaidi ya mnyakyusa

Mademu wa kichagga si watafutaji bali wachunaji na hawana mapenzi ya dhati. Demu wa kichagga/mpare anamsukia mipango mumewe auwawe ili arithi mirathi.
 
Back
Top Bottom