Usisomeshe mtoto shule za gharama kwa matarajio kwamba atapata ajira, utaishia kuumia tu

kama ni kituo cha kulea watoto sawa ila sio sehemu sahii zaidi kuliko shule zingine za kawaida. Hii ni sawa na kwenda mwanza ukachagua usafiri wa ndege au basi, mwanza utafika tu
 
Kwani hitaji linajali gharama? Ndio maana kuna hospitali za rufaa kutatua changamoto ya ugonjwa ulioshindakana hospitali za mwanzo. Shule na hospitali ghali mtu ana option kuchagua, hii ni kama kuchagua ule chakula cha gharama gani, upate usafiri gani, mtoto akalelewe kwenye vituo gani, yote haya ni mtindo wa maisha tu haimaanishi kwingine si bora
 
Huu ni upuuzi.

Shule inamfundisha mtoto lugha tatu kubwa, ana nafasi ya kutembelea nchi kubwa kujifunza na anapata exposure unasema asisome huko sababu hakuna ajira🤣🤣🤣🤣.

Kama uwezo hakuna sawa, ila kama upo peleka mtoto mahali ambapo ni The best.

Kwani mwanao akipata nafasi ya kusomeshwa bure shule yoyote utakayochagua utampeleka kijichi primary school?
 
Siyo goigoi. Hii ni kanuni ya tajiri atazidi kuwa tajiri na masikini atazidi kuwa tajiri.
Mfano leo mtoto wa Bakhera au Mo aende akasome kayumba? Masikini huwa anaamini ili mtoto akue kimaadili lazima apitie maisha magumu, kulima, kubeba maji kichwani, kulala njaa n.k ila tajiri huwa anaamini ili mtoto akue kimaadili lazima apitie mazingira mazuri, asome shule za gharama, alale sehemu nzuri, afanye kazi nyepesi.
Mtoto wa tajiri akimaliza chuo, baba yake anamfungulia duka la Hardware la kwake, anapewa nyumba na gari wakati mtoto wa masikini yupo mtaani anatembea na bahasha mkononi kutafuta ajira. Akipata mshahara laki 4, cycle ya poverty inarudi pale pale.
 
Mkuu nimejiridhisha kuna bao la mkono ktk shule za private.

Niliangalia matokeo ya darasa la 7 2021/2022 kuna shule moja ya private. wamepasi shule nzima
Kwa alama A na B ..wastani.
C wala D..hakuna

Hii aiwezekani na kwa akili ya kawaida ,,
If you want to be common in life use common sense yaani akili.ya kawaida isyojihangaisha kwa lolote

If you want your child to be common send your child to Common school sio ya tofauti Sana Kama hizo za gharama kubwa ambazo sio common .
 
Wazo la safe,secure and high paying job ni idea za agranian age....we are not in that age anymore......
 
Wengi husomesha watoto shule za gharama kama njia ya kujionyesha wao wana maisha bora kuliko wengine.

We sema huna hela Ndio maneno yanakutoka pole yako...
Ni sawa mtu anakaa masaki na wewe unakaa manzese useme wa masaki anajidai kukaa masaki
 

We naweeeeh Kwani lazima wote tulime bustani ili iwejee
ujinga mtupu..
Wacheni watu waishi maisha yao na wewe ishi yako ..
Tafuta pesa kaka hizo zote ni dalili za kutokua na pesa acha makasiriko
 
Ndo janga la wanaume wa dar ilo.
Yaan anapiga yowe akimuona mende
 
Sekta ya madini na kilimo zikitiliwa mkazo zitaajiri vijana wote na kumaliza tatizo la machinga na bodaboda mijini.
Tirion 2 tu zinatosha kumaliza tatizo la ajira nchini na kuzalisha mapato mara 10 ya hio
 
Chuo kikuu wazazi wasitarajie watoto kupata mkopo asee na mtoto atasom kwa shida sana
 
Ni aibu sana kwa vijana kukosa ajira huku raslimali zetu zinaoza tu hii Ina maanisha hatuna viongozi wanaofikiri.
 
Gari sio anasa ni basic needs hayo makodi komozi ya nn sasa, kwann zisiingie bure Ili mafundi,vituo vya mafuta,wauza spea, parking,nk zije zipate mapato at the end import duty iwe imejilipa humo humo.
 
Wala sio sababu! Kama nna hela why mtoto wangu akasome shule anayoenda na mifagio na vidumu vya maji kila siku?Why aende shule yenye huaba wa walimu wa sayansi na hisabati?? kisa nisionekane naringia pesa¿ haya ni mawazo ya kimaskini
Somesha mtu Ili akacheze na wenzie shuleni kuepusha kelele nyumbani pili imsaidie atengeneze connection maana watoto wa leo ndio viongozi wa kesho.Na sio kusomesha Ili akapate ajira,ajira ni matokeo.
 
Ndo na ndio lengo hasa la kunukia uwaridi.
 
Wanasomesha huko ki ufahari na ulimbukeni tu waonekane wana hela na pia watoto wao wajue english, kumbe hakuna lolote huko. Kama mtoto ana akili, ana akili tu hata akisoma shule za kawaida atafaulu
Somesha mtoto shule za hela akachangamane na watoto wa matajiri, viongozi, wanasiasa Ili apate exposure na connection,kwani bila connection life haiendi.
 
Wewe jamaa!!! Sasa tukienda hivyo, madaktari, wahandishi na hao watakaofundisha hizo kozi za ujasiriamali watatoka wapi baada ya miaka ishirini kupita?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…