Usiseme 'umejenga' sema Serikali imejenga, tumpunguzie majukumu Rais

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
18,488
13,608
Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana.

Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo.

Nawashauri wasaidizi wa Mheshimiwa Rais kupenda kutumia maneno mbadala ili asikwazwe Rais. Huyo Rais anaongoza taasisi pana yenye watu wengi walio chini yake. Sio haki kumgeuza kuwa superman anayeweza kufanya kila kitu peke yake.

Mnapokuwa mnasimfia kupitiliza labda zipo nia za upigaji kwa kumpofua macho yake ya moyoni. Lakini kama mnaweza kumsifia kama kafanikisha kila kitu yeye kwa nguvu zake binafsi na muwe na utayari wa kumwambia ukweli pindi serikali yake inapoboronga.

Majukumu anayokuwa nayo katika utekelezaji wa suala fulani la kiserikali ni hayo hayo anayokuwa nayo mambo yanapokuwa mabaya.

Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
 
Ukweli utatuweka huru...

Kuna tabia zilishamili sana awamu ya tano na awamu ya sita tumezirithi, tabia hizi huko nyuma hazikuwepo, si tabia njema tuziache tutafute utaratibu mwingine wa kuishi..

Maendeleo yameshakuwa ni favor kutoka kwa Rais na sio mpango maalum kulingana na vipaumbele vyetu..

Nawaasa viongozi wote, hii sio style nzuri ya uongozi na hupendwa sana kutumiwa na viongozi wanasiasa wenye kutafuta umaarufu na kuwafanya rais wanyonge wasiojielewa na kuwa na uelewa kama ngao yao hasa kipindi cha kutafuta kura..
 
Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana.
Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo.

Nawashauri wasaidizi wa Mheshimiwa Rais kupenda kutumia maneno mbadala ili asikwazwe Rais. Huyo Rais anaongoza taasisi pana yenye watu wengi walio chini yake. Sio haki kumgeuza kuwa superman anayeweza kufanya kila kitu peke yake.

Mnapokuwa mnasimfia kupitiliza labda zipo nia za upigaji kwa kumpofua macho yake ya moyoni. Lakini kama mnaweza kumsifia kama kafanikisha kila kitu yeye kwa nguvu zake binafsi na muwe na utayari wa kumwambia ukweli pindi serikali yake inapoboronga.

Majukumu anayokuwa nayo katika utekelezaji wa suala fulani la kiserikali ni hayo hayo anayokuwa nayo mambo yanapokuwa mabaya.

Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
Mwanzilishi wa hako ka utamaduni ni Hayati Magufuli.

Kwa kuwa hivyo ndivyo watanzania walivyozoezwa,wacha tuendelee hivyo hivyo.
 
Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana.

Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo.

Nawashauri wasaidizi wa Mheshimiwa Rais kupenda kutumia maneno mbadala ili asikwazwe Rais. Huyo Rais anaongoza taasisi pana yenye watu wengi walio chini yake. Sio haki kumgeuza kuwa superman anayeweza kufanya kila kitu peke yake.

Mnapokuwa mnasimfia kupitiliza labda zipo nia za upigaji kwa kumpofua macho yake ya moyoni. Lakini kama mnaweza kumsifia kama kafanikisha kila kitu yeye kwa nguvu zake binafsi na muwe na utayari wa kumwambia ukweli pindi serikali yake inapoboronga.

Majukumu anayokuwa nayo katika utekelezaji wa suala fulani la kiserikali ni hayo hayo anayokuwa nayo mambo yanapokuwa mabaya.

Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
Hayo yapo na haya taweza kuondoka mpaka tuwe na chaguzi za haki.

Maana kila mgombea anajuwa wapiga kura wakimchaguwa wasimchaguwe maadamu yeye ni CCM atapita kwa nguvu ya dola na goli la mkono.
Tukitaka maendeleo ya kweli na yatokane na watendaji bora basi wanachi wawe na uwezo wakupiga kura bila firigisi zozote na waweze kumuweka mtu ambaye atawalatea maendeleo.
Sio kiongozi anaye takiwa DODOMa hata kama simtendaji bali ni yes bwana na anajuwa kumsifia Raisi.

Maendeleo hayatakuja mpaka ukweli usemwe kuwa huyu hafai hafai kwa nguvu ya wananchi.
 
Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana.

Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo.

Nawashauri wasaidizi wa Mheshimiwa Rais kupenda kutumia maneno mbadala ili asikwazwe Rais. Huyo Rais anaongoza taasisi pana yenye watu wengi walio chini yake. Sio haki kumgeuza kuwa superman anayeweza kufanya kila kitu peke yake.

Mnapokuwa mnasimfia kupitiliza labda zipo nia za upigaji kwa kumpofua macho yake ya moyoni. Lakini kama mnaweza kumsifia kama kafanikisha kila kitu yeye kwa nguvu zake binafsi na muwe na utayari wa kumwambia ukweli pindi serikali yake inapoboronga.

Majukumu anayokuwa nayo katika utekelezaji wa suala fulani la kiserikali ni hayo hayo anayokuwa nayo mambo yanapokuwa mabaya.

Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
walianza kwa yule aliyeondoka
Wanaogopa kuacha.
Siasa ni kujipendekeza tu.
 
walianza kwa yule aliyeondoka
Wanaogopa kuacha.
Siasa ni kujipendekeza tu.
Rais anatakiwa awe na washauri tofauti na hawa wa sasa, ili aweze kubakia kwenye mstari. Kupambwa kukizidi kunaweza kumuondolea akili na roho ya kibinadamu.
 
Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
Udikteta tunautengeneza wenyewe. Hasa hawa wanaobembeleza ama kulinda nafasi za teuzi kwa kutoa sifa zisizokuwa na kichwa kwa rais ndiyo
 
Kuna wakati hayati Ben Mkapa alilikemea hili akisisitiza zitumike kauli kama"serikali ya CCM siyo serikali ya.._.Naona hayati hakueleweka, hii inakipunguzia nguvu chama tawala, na watu kuona figure badala ya taasisi(chama)hii ni hatari ktk medari za siasa
 
Serikali yetu chini ya utawala Bora wa CCM, inatuoenda sana.wananchi, Hadi inatujengea majumba ya kukaa bure kabisa.

Hili tutalijadili peponi iwapo tutaujuta utawala wa CCM huko
 
Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana.

Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo.

Nawashauri wasaidizi wa Mheshimiwa Rais kupenda kutumia maneno mbadala ili asikwazwe Rais. Huyo Rais anaongoza taasisi pana yenye watu wengi walio chini yake. Sio haki kumgeuza kuwa superman anayeweza kufanya kila kitu peke yake.

Mnapokuwa mnasimfia kupitiliza labda zipo nia za upigaji kwa kumpofua macho yake ya moyoni. Lakini kama mnaweza kumsifia kama kafanikisha kila kitu yeye kwa nguvu zake binafsi na muwe na utayari wa kumwambia ukweli pindi serikali yake inapoboronga.

Majukumu anayokuwa nayo katika utekelezaji wa suala fulani la kiserikali ni hayo hayo anayokuwa nayo mambo yanapokuwa mabaya.

Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
Msome pia "Thetallest" ameandika hivi,ni "kwanini nguvu kubwa inatumika kumsifu na kumvika kilemba cha ukoka Rais Samia ?"
 
Siasa ni mchezo mbaya umejaa unafiki wa kila aina. Ninawasikiliza wanasiasa wanavyosema Mama umejenga, Mama umetenga, Mama unakusudi jema sana.

Yote hayo ni maneno mabaya kwa maana ya kumtwisha mzigo mzito rais na kama akikosa hekima basi anaenda kuvimba kichwa na kupoteza mwelekeo.

Nawashauri wasaidizi wa Mheshimiwa Rais kupenda kutumia maneno mbadala ili asikwazwe Rais. Huyo Rais anaongoza taasisi pana yenye watu wengi walio chini yake. Sio haki kumgeuza kuwa superman anayeweza kufanya kila kitu peke yake.

Mnapokuwa mnasimfia kupitiliza labda zipo nia za upigaji kwa kumpofua macho yake ya moyoni. Lakini kama mnaweza kumsifia kama kafanikisha kila kitu yeye kwa nguvu zake binafsi na muwe na utayari wa kumwambia ukweli pindi serikali yake inapoboronga.

Majukumu anayokuwa nayo katika utekelezaji wa suala fulani la kiserikali ni hayo hayo anayokuwa nayo mambo yanapokuwa mabaya.

Mjitahidi kuweka uwiano ulio sawa mnapozielekeza sifa nyingi kwa Rais. Ili asije akawa na 'kichwa' kikubwa akajikuta anaiharibu kazi badala ya kuiweka sawa kwa faida ya Taifa letu.
Mkuu lakini ulikuwa kimya kabisa wewe na wenzako mlipokuwa mkimsifu kwa namna hii mwendazake
 
Back
Top Bottom