katibasitti
Member
- Nov 10, 2014
- 61
- 37
wewe binti ambae mume wa mtu anakuja na kujifanya kukulalamikia matatizo kati yake na mkewe na kumpaka kwako ili wewe ujione ndio wewe usidanganyike,jua huyo ni kimeo tu ni njia ya kuitengeneza saikolojia yako kua wewe ndo bora kumbe umeliwa. ukiona hivo kimbia kwa spidi kali kadri miguu yako inavyoweza kukubeba.
vivyo hivyo kijana wa kiume.
vivyo hivyo kijana wa kiume.