Mkuu bado sijaonakuweza kuitetea hoja yako. Unachofanya ni kulazimisha tu kuwa uwepo wako ndiyo unasababisha uwepo wa vitu vingine viwepo na kutokuwepo kitu ambacho hujaweza kueleza ni kwanini hasa iwe hivyo?Ndugu, asante kwa tafakari yako. Ninafurahi kuwa unatumia muda wako kutafakari nami. Hili ni jambo zuri sana. Ninakupongeza. Nina imani nawe upo njiani kwa tafakari mpya zaidi.
Mkuu, nina swali moja fupi. Kama usingekuwepo duniani, kitu gani kingekuwepo? Endelea kulitafakari. Kama ukiwa na jibu kuwa, kwako, hakuna ambacho kingekuwepo. Swali jingine lingekuja, kwa nini sasa hivi vipo? Endelea pia kutafakari swali hili. Sidhani kama kuna jibu zaidi ya ni kwa sababu kuwa upo. Itakuwaje siku usipokuwepo milele? Hukuwepo, hivyo, hakuna kilichokuwepo, na baadae hutakuwepo, ina maana hakutakuwepo na chochote.
Ninakusoma mkuu, lakini bado sijashawishika kuwa, nisipokuwepo, bado kutakuwa na uwepo.
A kind of a theory. Ili kitu kiendelee kuwepo au hali ya mabadiliko yake iendelee kuwepo, ni lazima mtu au kitu mahususi kilichokuwa na ufahamu wa uwepo huo kiendelee kuwepo.
Unexpected answerNinashukuru. Kwa kuwa hujanielewa ndio maana unahitimisha kuwa ni nonesense. Give gourself time to understand, you may get something sensible in this discussion. All the best my friend.
Ni kweli mkuu bila kuwepo hatuwezi kuthibitisha uwepo.Hivi vitu vinahitaji akili kubwa kuelewaLazima mimi niwepo kwanza, ili space iwepo. Je, una kumbukumbu yoyote ya kuwepo kwa space kabla ya kuwepo kwako? Kwa kuwa bado upo, unaweza kututhibitishia namna utakavyoendelea kufahamu kuwa kuna space mara baada ya wewe kutokuwepo?
Mkuu bado sijaonakuweza kuitetea hoja yako. Unachofanya ni kulazimisha tu kuwa uwepo wako ndiyo unasababisha uwepo wa vitu vingine viwepo na kutokuwepo kitu ambacho hujaweza kueleza ni kwanini hasa iwe hivyo?
Kila kitu kina uwepo wake sasa haiwezekani kukosekana uwepo wako mahali kuondoe uwepo wa vitu vingine,halafu wakati mie nazungumzia yale niliyo na uzowefunayo kwa sababu ya uwepo wangu hapa duniani wewe unazungumzia mambo ya kutokuwepo ambayo sijui umepataje uzowefu wa hayo mambo?
Falsafa ni somo lisilo na hitimisho kila mtu huwa anakuja na lwake.Thales,Permanindes,Pythagoras etc walishindwa kutoa majib sawa about existence of human being.I'm a typic sophist philosophical ideas follower.
Huyu mkuu forumyangu naona ameeleza vyema kwa nini lazima kuwe na uwepo kwanza. Ameandika, ninamnukuu:Mkuu bado sijaonakuweza kuitetea hoja yako. Unachofanya ni kulazimisha tu kuwa uwepo wako ndiyo unasababisha uwepo wa vitu vingine viwepo na kutokuwepo kitu ambacho hujaweza kueleza ni kwanini hasa iwe hivyo?
Kila kitu kina uwepo wake sasa haiwezekani kukosekana uwepo wako mahali kuondoe uwepo wa vitu vingine,halafu wakati mie nazungumzia yale niliyo na uzowefunayo kwa sababu ya uwepo wangu hapa duniani wewe unazungumzia mambo ya kutokuwepo ambayo sijui umepataje uzowefu wa hayo mambo?
Unaona sasa hapo? Tofauti ya mie na wewe ni kwamba mimi nazungumza vitu ambavyo naviexperience kutokana na uwepo wangu hapa duniani na kumbuka kuwa unaposema mtu kuwepo au kutowepo tunakusudia uwepo wa hapa duniani,sasa wewe unazungumzia vitu vya kufikirika tu.Huyu mkuu forumyangu naona ameeleza vyema kwa nini lazima kuwe na uwepo kwanza. Ameandika, ninamnukuu:
"Ni kweli mkuu bila kuwepo hatuwezi kuthibitisha uwepo......"
Ili kitu kiwepo, unahitajika uthibitisho na hakuna namna unaweza kuthibitisha uwepo wa kitu bila kuwepo. Nikikuomba uthibitishe uwepo wa Dunia kabla ya wewe kuwepo, nadhani hutaweza. Hata hivyo, mwenyewe unahoji ikiwa ninawezaje kuzungumzia kutokuwepo, kwamba ni hali isiyowezekana ilihali wewe unaona ni halali tu kuzungumzia uwepo ungali upo. Hii inathibitisha kuwa unaweza tu kuzungumzia uwepo ikiwa wewe upo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo na kamwe huwezi kuzungumzia chochote.
Hilo ni suala la kutokujua na hivyo haina maana kuwa hicho usichokijua hakipo kisa wewe hukijui,mie nazungumza kwa kutumia uzowefu ila wewe mkuu unazungumzia ya kufikirika yenye kupingana na uhalisia uliyopo na unataka hayo ya kufikirika yawe na athari kwenye mambo yenye uhalisia.Mkuu, unajuaje kuwa kila kitu kina uwepo wake. Hili umelijua wakati gani? Kabla ya kuwepo au baada ya kuwepo? Vipi siku usipokiwepo,hili utaendelea kulijua? Unafikiri hii itakuwa na maana gani kwako ikiwa hutakaa kujua tena kama kila kitu kina uwepo?
Asante ndugu kwa maoni yako. Kama Mwanafalsafa huyo asingekuwepo, ni dhahiri kuwa asingejikwaa na kwake kusingalikaa kutokea kwa kitu kinachoitwa kisiki. Hali kadhalika kwa Babu, kama sipo, hakuna kitu kinachoitwa babu. Hakuna babu wa mtu asiyekuwepo. Lazima uwepo ili babu awepo (hata kama hayupo tena, angalao utafahamu alikuwepo babu), lakini wewe usipokuwepo, babu hawezi kuwepo hata kama bado yupo.
Unazungumzia mama, unamwita mama kwa kuwa upo, siyo? Hakuna namna unaweza kumwita mama usipokuwepo. Kwa hiyo, ninajua kuwa yupo, na ninamwita mama kwa kuwa nipo, nisipokuwepo, naye hayupo na hatakaa kuwepo hadi siku nitakapokuwepo.
Mungu (omnipotent, omniscuent, all benevolent) hayupo. Period.Ndio, usipokuwepo, hakuna kilichopo. Hata Mungu hayupo ikiwa wewe haupo. Ndio maana wapo wanaohoji kwamba kati yako na Mungu, nani wakwanza kuwepo.
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima uwepo ili Mungu awepo. Kwa hiyo, lazima wewe uwepo ili Mungu na kila kitu viwepo.
Ili uwepo uwepo,lazima wewe uwepo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo.
Mshana Jr, karibia huku utoe maelezoNdio, usipokuwepo, hakuna kilichopo. Hata Mungu hayupo ikiwa wewe haupo. Ndio maana wapo wanaohoji kwamba kati yako na Mungu, nani wakwanza kuwepo.
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima uwepo ili Mungu awepo. Kwa hiyo, lazima wewe uwepo ili Mungu na kila kitu viwepo.
Ili uwepo uwepo,lazima wewe uwepo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo.
Oltunganyi, unaweza Ukanieleza chumba ni nini? Je, chumba ni kuta na paa? Au vitu vilivyomo ndani ya chumba?Ili awe Mungu, hakika binadamu lazima awepo. Hata sasa wewe unamuona kuwa ni Mungu kwa kuwa upo.
Ningefurahi sana kama ungenipa tafsiri ya hiyo mistari kuliko kuniwekea hapo hivyo. Mimi siamini kwenye ku-quote maandishi ya vitabu hivyo. Ninapenda namna wewe unavyotafsiri maandiko hayo ili kukidhi na kupata namna bora sana ya kuishi inayolinda ubinadamu.
Wewe Mungu wako yupo wapi???Tatizo ni kuwa, ukishaonesha kuwa hutoi nafasi kwa Mungu wa vitabuni, basi nawe unawekwa kwenye kundi la akili ya kawaida. Akili nzuri ni ile inayoamini kuwa kuna Mungu, haswa yule wa kwenye vitabu.
Siri ya uumbaji it's beyond human thinking. Majini, mapepo, mizimu, malaika na viumbe vingine visivyoonekana (visivyo na mwili bali nafsi) vinatuzidi kidogo kuhusu nini hasa siri ya uumbaji; vyote vinajua Mungu yupo na vinamuheshimu na kumwogopa; ila vingine vinafanya ujeuri tu sababu kiasi vinajua siri ya uumbaji.Ndio, usipokuwepo, hakuna kilichopo. Hata Mungu hayupo ikiwa wewe haupo. Ndio maana wapo wanaohoji kwamba kati yako na Mungu, nani wakwanza kuwepo.
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima uwepo ili Mungu awepo. Kwa hiyo, lazima wewe uwepo ili Mungu na kila kitu viwepo.
Ili uwepo uwepo,lazima wewe uwepo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo.
All things start with an idea.Lazima mimi niwepo kwanza, ili space iwepo. Je, una kumbukumbu yoyote ya kuwepo kwa space kabla ya kuwepo kwako? Kwa kuwa bado upo, unaweza kututhibitishia namna utakavyoendelea kufahamu kuwa kuna space mara baada ya wewe kutokuwepo?
Vitu vipo hata bila ya wewe kuvithibitisha.Huyu mkuu forumyangu naona ameeleza vyema kwa nini lazima kuwe na uwepo kwanza. Ameandika, ninamnukuu:
"Ni kweli mkuu bila kuwepo hatuwezi kuthibitisha uwepo......"
Ili kitu kiwepo, unahitajika uthibitisho na hakuna namna unaweza kuthibitisha uwepo wa kitu bila kuwepo. Nikikuomba uthibitishe uwepo wa Dunia kabla ya wewe kuwepo, nadhani hutaweza. Hata hivyo, mwenyewe unahoji ikiwa ninawezaje kuzungumzia kutokuwepo, kwamba ni hali isiyowezekana ilihali wewe unaona ni halali tu kuzungumzia uwepo ungali upo. Hii inathibitisha kuwa unaweza tu kuzungumzia uwepo ikiwa wewe upo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo na kamwe huwezi kuzungumzia chochote.