Oltung'anyi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 284
- 196
Ndio, usipokuwepo, hakuna kilichopo. Hata Mungu hayupo ikiwa wewe haupo. Ndio maana wapo wanaohoji kwamba kati yako na Mungu, nani wakwanza kuwepo.
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima uwepo ili Mungu awepo. Kwa hiyo, lazima wewe uwepo ili Mungu na kila kitu viwepo.
Ili uwepo uwepo,lazima wewe uwepo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo.
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima uwepo ili Mungu awepo. Kwa hiyo, lazima wewe uwepo ili Mungu na kila kitu viwepo.
Ili uwepo uwepo,lazima wewe uwepo. Usipokuwepo, hakuna kilichopo.