Oltung'anyi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 284
- 196
- Thread starter
- #181
Usipokuwepo, huwezi kueleza chochote kwa sababu hakuna kilichopo cha kuelezea. Ila, ukiwepo, una uwezo wa kuelezea hali ya kutokuwepo ila si kuelezea kilichojiri wakati wa kutokuwepo kwani kwa kutokuwepo, hakukuwa na chochote.Arusha kuna baridi mkuu hivyo utahisi hiyo baridi na ukirudishwa lazima uhisi hali Dar lazima uhisi hali ya hewa tofauti.
Hivyo unaweza usiiyone Arusha ila unacho ulicho experience na utaweza kuelezea,ni tofauti na kwamba haupo unafikiri utaeleza nini?