witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,746
Haaaahaaaaa....jiue umkomeshe huyooNgoja nijiue mim make drama zake sio et siwezi kuish bika wew dah kwan nlzaliw nae pamoja
Haaaahaaaaa....jiue umkomeshe huyooNgoja nijiue mim make drama zake sio et siwezi kuish bika wew dah kwan nlzaliw nae pamoja
Hiyo ikishindikana anza tabia ya kumrekodi wakati unamgegeda kama hapendi atakataa na akikataa we shikilia hapohapo mpaka akereke ila usizitume mtandaoni baki nazo kisha unazifuta.Ngoja nijiue mim make drama zake sio et siwezi kuish bika wew dah kwan nlzaliw nae pamoja
Sio vizuri mkuu kwani nyie hamfany kmakosaWanaume nyie Bana Dawa yenu ni kulogwa dushe lilale tuu.
Kumbuka ana mimba. Kujikata mshipa huo mkubwa maana yake damu itatoka kwa wingi na baadae atakuwa na upungufu wa damu, ambayo ni tatizo sasa kwa hiyo mimba. Ni rahisi kupoteza fahamu na hata maisha pia.Pole sana mkuu.
Ila huyu nae ndio kujiua gani huko anajikata mkononi.
Unamsahau huyo mwanamke aloamua kumuingiza jamaa majaribuni.! Katika hali kama hiyo unawezaje kuchomoka.?Wanaume nyie Bana Dawa yenu ni kulogwa dushe lilale tuu.
Hahaaa, kwa gharama yeyote litaamshwa tuuWanaume nyie Bana Dawa yenu ni kulogwa dushe lilale tuu.
Wewe ndo hatar bora anaejichanja mwenyeweWanaume nyie Bana Dawa yenu ni kulogwa dushe lilale tuu.
Alitekeleza tamko la mtukufuHv huo ujasiri wa kuchapa kavukavu nyie wanaume wenzangu huwa mnautoa wapi asee??? Hayo ndo madhara yake yaani ukiamus kuchapa kavu swala la kuwa na watt nje ni jambo lisilozuilika
Wewe hauko sawa yaan huyo yuko na watoto wengine 2 amezaa na mtu/watu wengine afu ndo unamng'ang'ania unaachwa mwanamke uliye mtambulisha nyumbani ana mtoto ako na mimba yako nyingine + umetambulishwa kwaoNimekupata vema ndugu,lakini mwenzako nimeahaharibu hivyo,kinachonipa shida ni kwamba huyu Dada wakazini nawezaje kumuepuka?
Kwa sababu hisia zangu kwa kiasi kikubwa zinamkubali sana,najiona kabisa kwamba nampenda!!!
Na tukienda ofisini muda wote tupo pamoja nawezaje kukiepuka kikombe hiki!!?
Maana hata uwepo wake najua ndo unaiumiza familia yangu!!!