Ngoja nikupe mfano mimi naishi mbali na familia, inanichukua siku mbili kusafiri na kuifikia mkoa ambapo familia ipo. Lakini nimewekeza kila baada ya miezi miwili lazima nitoroke au ruhusu kwenda kuungana na familia (nafikiri unaelewa nachosema).
Mbali na hapo nimewekeza sana kwenye mazoezi Mara 2 au 3 kwa wiki lazima nifanye mazoezi ya kufa mtu, pia kazi yangu hunifanya kuwa busy mara nyingi.
Pia likizo ya mwezi ya mwezi wa sita familia hunifuata na kukaaa mwezi mzima.
Sawa kuchepuka kunaweza kutokea ukizidiwa lakini sio kuendekeza na kuishi kama make na mume.
So punguza tamaa na ukaribu na wanawake otherwise utashindwa kulea familia zote na kusababisha migongano isiyokuwa na lazima