Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Kumbuka ana mimba. Kujikata mshipa huo mkubwa maana yake damu itatoka kwa wingi na baadae atakuwa na upungufu wa damu, ambayo ni tatizo sasa kwa hiyo mimba. Ni rahisi kupoteza fahamu na hata maisha pia.

Na kama damu ingeendelea kutoka bila kupata msaada angekufa, halafu weka akilini nani angehusishwa na kifo hicho.

Alikuwa anajiua. Huyo ana matatizo ya akili na hana huruma hata kwa mwili wake mwenyewe
Mkuu tayari alishajifungua,tuna mtoto ana mwaka mmoja na miezi kadhaa!!
 
Unamsahau huyo mwanamke aloamua kumuingiza jamaa majaribuni.! Katika hali kama hiyo unawezaje kuchomoka.?

Don't insult and play a victim.
Na kwa ukweli ilikuwa ngumu sana kuchomoka,ukizingatia anajua kabisa kuwa nipo na mahusiano serious,sikufikiria kama mwisho wa siku yangekuwa haya,ni hatari kweli!!!
 
We bwana unahatari naona unaunga juhudi za mh kufyatua tuu
Niliamini hawezi kubeba mimba kwa sababu anajua fika kuwa nipo na mke na ana watoto wangu,lakini kubwa zaidi wanafahamiana,so ataepuka kubeba ujauzito,kumbe na yeye kichwa chake kinawaza mengine kabisaaa!!!
Hakika Mungu anitetee nitoke kwenye hili janga!!!
 
Yaani na wewe unataka kabisa kuingia kwenye mtego wa hivyo wa kuiacha familia yako kizembe namna hiyo acha masihara basi kuwa greatman kweli Fanya maamuzi kwa ajili ya future ya yule unaetambua maisha yake, unatambulika kwao, wanamtambua kwenu

Kofia uliyo vaa ya u-greatman inaanza kupwaya kama utaendelea na maamuzi dhaifu kwenye issue serious ya maisha yako
Mkuu natamambua fika kuwa nilikoaea sana,sana sana!!!
Siku ninajutia sana makosa yangu,lakini kubwa ni namna gani naweza kutoka hapa,angekuwa anaishi mbali isingenipa shida,tatizo ni kwamba tupo ofisi moja mkuu,na majukumu mengi tunafanya pamoja,naogopa sana kwa kweli sana!!!
 
Kwa hiyo mzee baba within less than 5 yrs tayari una watoto watano wa kulea! "
 
Kitu ambacho ni maajabu kw wanaume wengi " ile ni familia yangu kiukweli ila mwanamke yule simpendi sina hisia naye kali" unawezaje kufanya kwarudiarudia na mtu usompenda kisha kumuoa kabisa?
Madam,kuna wakati inabidi kuamua hovyo kwa sababu ya sifa za mwanamke,ni mwanamke mpole na mwenye kujiheshimu sana,wakati huo huo tayari ana mtoto wangu,sikupenda kabisa kuwa na mtoto/watoto nje ya familia yangu,lakini mwisho wa siku ndo kama hivi!
 
Usijutie sana kilichotokea na maamuzi yako, nachokushauri kama wewe ni mtumishi hama huko Tanga, mwachie vitu vya ndani ya nyumba/Chumba chako. Kaishi na Mkeo wa Singida, yule wa Tanga akigundua hivyo hapo baadaye hatoweza kukusumbua maana alifanya anachokijua wakati wanawake huwa wanawaza matukio ya mbali sana
Hili nadhani ni suluhisho,lakini process za kuomba uhamisho Nazi zipo complex sana,ila nadhani ni wazo zuri,nikifanikiwa nitamuachia kila kitu!!!
 
Ushauri wa kiume: achana na huyo co- worker kabisa mkuu.
Kwanza kuwa na mwanamke ndani ya ofisi moja ni kujitafutia majanga ktk kibarua chako.
 
kwa maelezo yako, ni wazi kipato chako ni kidogo, huna uwezo wa kuhudumia familia kubwa, achana na mawazo potofu ya msukuma. kwa upande wa uzazi ishia hapo, plan jinsi ya kuwalea watoto wako 3. ila huyo wa tanga, pamoja na uzuri wake, sikushauri uendelee naye.
kama kuamua, amua sasa.
 
Kwanza pole cha pili we ni mzembe nafkiri ulijua kabisa kwamba mwanamke ana wivu kwa nini usimdanganye ukaondoka bila ye kujua unaenda wapi huwezi ukamuaga mkeo au mpenzi wako unaenda kuitembelea familia na mkeo wa wa zamani hauko serious kabisa
 
Hayaa wale wapenda picha hiyo hapo..Mkuu na haya maelezo uliyoyatoa hapa kama yalivyo kayatoe kituo cha polisi hii itakusaidia kuweka kumbukumbu sawa.
Kweli kabisa kwanxa itasaidia mengi kukitoa ktk mahusiano nayr huyo so mwanamke na hakuwa muwazi kwako.. halafu ujue uko tanga utarogwaa kisawasawa hiyo tabia yako ya wanawakr najua utaacha kwa tukip hilii! Pia hata huyo mwanamke ana weza kukutengenez haswaaa ukabaki kuwa zezeta nduguu.. huyo dada sio mkweli na muwazi kwako anataka umuoe yee halafu umsaidir wanar haoo.. sikiliza mke mzur ni yule ulozaa naye watoto wawili mchukue na ishi naye ili mahusiano na huyo yaishe na umweleze kuwa huyo ni mkeo wazazi wao ndo wanamtaka na nyumba hama kabisa.. ofisin mheshimu tu kaa naye mbali usitafute chance ya kuwa naye karibu jitahidi kumkwepa ni nyoka huyooo.. then mtoto ngojea akue umchukue mwanao... polisi ni kitu cha kwanxa kwa usalaama wako na yule ulozaa naye watoto wawili.. muhimu uishi na RB na kwako mpige marufuku.. Halafu tuliza zipu ndugu yanguu....
 
The greatman ktk ubora wako, kwanza una miaka mingapi? Kifua huna pia wanawake wanakuzidi akili
 
Tumia kichwa cha juu fanya maamuzi huyo wa Tanga ni kahaba wa kishetani angekupa mchezo tu lakini sio kujibebesha mimba ili kumkomoa mkeo anaemfahamu kisa tu ana watoto wawili

Hisia zako kwake ni za mawenge hamna penzi la kweli hapo

Mtu unaempenda huwezi kufanya upuuzi kama huo eti kujikata mkono ili kukutisha au!!! Katoe taarifa polisi kuhusu hilo tukio

Halafu nenda singida kwa mkeo usie na hisia nae jilazimishe umkule kiroho safi rudi ofisini fanya taratibu zako uhame

Huyo mvalie mawani ya mbao

Hilo demu senge sana ukililea hivi karibuni utaitwa marehemu anao uwezo wa kukuua wewe au mkeo au watoto wako

Kuna wanawake wajinga kwelikweli
 
Tumia kichwa cha juu fanya maamuzi huyo wa Tanga ni kahaba wa kishetani angekupa mchezo tu lakini sio kujibebesha mimba ili kumkomoa mkeo anaemfahamu kisa tu ana watoto wawili

Hisia zako kwake ni za mawenge hamna penzi la kweli hapo

Mtu unaempenda huwezi kufanya upuuzi kama huo eti kujikata mkono ili kukutisha au!!! Katoe taarifa polisi kuhusu hilo tukio

Halafu nenda singida kwa mkeo usie na hisia nae jilazimishe umkule kiroho safi rudi ofisini fanya taratibu zako uhame

Huyo mvalie mawani ya mbao

Hilo demu senge sana ukililea hivi karibuni utaitwa marehemu anao uwezo wa kukuua wewe au mkeo au watoto wako

Kuna wanawake wajinga kwelikweli
Ahsante sana kwa ushauri wako,barikiwa!
 
Kitu ambacho ni maajabu kw wanaume wengi " ile ni familia yangu kiukweli ila mwanamke yule simpendi sina hisia naye kali" unawezaje kufanya kwarudiarudia na mtu usompenda kisha kumuoa kabisa?
Jambo usilo lijua ni kwamba wanaume mara nyingi huoa wanawake wanaohisi hawawapendi sana kama wa huyo jamaa.

Pili wanaume wengi bila shinikizo toka kwa mwanamke wake anajiona hayuko tayari kuoa muda husika. Huwa kuna kusita sita na ndio maana jamaa alipompa mimba ya kwanza mwanamke wa kwanza alijiona hayupo tayari kuwa na mtoto.

Jamaa mke wake ambae atadumu nae bila kero ni yule wa kwanza sababu anaonesha anampenda kwa dhati na mvumilivu.

Huyo wa Tanga akishajihakikishia ndoa na mtoto tayari jamaa atajuta kumfahamu. Hapo mtoto ametumika amemtumia kama blackmail kwa jamaa sababu anahisi mtoto ndio kitu kinachomfanya jamaa amchague mwanamke wa kwanza.
 
Back
Top Bottom