Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,268
Nitafatilia na watu wa Iringa pia nijue, research inaendelea sitak nijutie baadaeMkuu huyu wa Singida sio mwenyeji wa huko,huko anafanya kazi tu!!!
Yeye ni mwenyeji wa Iringa huko!!
Nitafatilia na watu wa Iringa pia nijue, research inaendelea sitak nijutie baadaeMkuu huyu wa Singida sio mwenyeji wa huko,huko anafanya kazi tu!!!
Yeye ni mwenyeji wa Iringa huko!!
Hahahaaa!!!Nitafatilia na watu wa Iringa pia nijue, research inaendelea sitak nijutie baadae
Bado umri unaruhusu,si vibaya nikiendelea kuwajua japo kwa common behavior mpaka hapo muda wangu utapofika. Unajua kuna baadhi ya sifa/tabia huwezi kuzikuta sehem nyingine mfano inafahamika kuwa wenye ujasiri zaid wa kujinyonga wanatokea mkoa upi, wenye matukio ya kikatili kuzidi wengine wanatokea wapi . vitu kama hiviHahahaaa!!!
Kila la kheri mkuu,japo kwa misingi ya ukabila kum-judge mwanamke wa leo utachemka vibaya sanaaa!
Hata wamasai na wasukuma ambao kwa miaka hiyo watu waliwaamini sana kwa uaminifu,leo wanawaliza watu kwa viwango vya kimataifa!
Hahahaaa!!!Dahhh kwahiyo mkuu una Watoto 2 Singida, 1 Tanga( hao wako) na nyongeza huu watoto 2 kwa bi Mdogo. JUMLA una Watoto 5, wake 2 mmoja mpole mmoja suicidal. I bet umri wako hata miaka 40 Bado hujafika
Hongera saba. Wewe ni mtu mwamba
Usilalie upande mmoja kuna wanawake pia ujue hawaelewekiWanaume nyie Bana Dawa yenu ni kulogwa dushe lilale tuu.
Halafu kwa scenario inayonikabili ananilaumu mimi,wakati wanawake wenyewe wote wamekuwa vimeo ile mbaya!!!Usilalie upande mmoja kuna wanawake pia ujue hawaeleweki
Wanajiona wanaonewa wao tu kisa wanaume wanagugumiaga na kupotezeaHalafu kwa scenario inayonikabili ananilaumu mimi,wakati wanawake wenyewe wote wamekuwa vimeo ile mbaya!!!
Sanaaa,mimi akiniroga eti nisisimamishe ,itabidi niombe mizimu nayeye a breed mpaka dushe lianze kusimama!!!Wanajiona wanaonewa wao tu kisa wanaume wanagugumiaga na kupotezea
upo sahihiHalafu Amu,fanya utafiti utagundua kuwa ni wachache sana wanaoana wakiwa na equilibrium kwenye kupendwa na kupenda, (yaani mwanaume anampenda kabisa mwanamke na mwanamke anampenda kabisa mwanaume)
Wengi huona kwa sababu zingine tofauti na kupenda,kuna wanaokubali kuolewa na wanaume ambao kimsingi hawawapendi ila kwa kuwa wanaume wanaowapenda hawaonyeshi mwelekeo wa ndoa basi wanaamua kuolewa na yeyote!
Wapo wanawake wanaoolewa na wanaume kwa sababu tu ya vipato vya wanaume hao,lakini mapenzi ya dhati hayapo kabisaaa!(wanaowapenda kweli hawana maisha mazuri!)
Wanaume pia wapo baadhi wanaoa sio kwa sababu wanawapenda sana hao wanaowaoa,ila ni kwa sababu wanawake wanaowapenda hawana sifa za kuwa wake zao,wana tabia tofauti na wanazozitaka,hivyo huishia kuoa wanawake wenye tabia njema,wanaoweza kutunza watoto wao vizuri n.k, mengine ni kuvumiliana mpaka wanazeeka!
Tangu nimeona Yale ma SMS sina hata hamu,nimeaingizia naumwa na natumia fake dose,ili ku-mask situation,nacheza na watoto akiwa job,akirejea nakuwa mnyonge siku inapita!ThaGreatman upo sahihi mkuu ila kwa upande wako ulitakiwa huyo mdada uwe umeshampenda ila ndo ivo tena, mzani wa mapenzi haulingani hata ila penzi hukua na kuchanua, shemeji yako wakati tunaanzana mimi ndo nlifall mazima yeye hata, nikawa mvumilivu mpaka sasa ninatembea kifua mbele nasema ananipenda hasa na ili ndoa idumu mpendane mvumiliane wewe huyo dada huwezi mpenda na yeye ameshajua, mwache labda kwenye hao 4 mmoja atakuwa wake.
Kwa hiyo mkuu singida unakula mzigo fresh tu?
Kwani hawajasoma mkuu!??
Mkuu nimeupitia" .. nimebaini kuwa Yeye ndiye chanzo cha hayo matatizo'' huu wakati mgumu anaoupitia" ni majibu ya karma",... wajua alimfanyia ubaya mwanamke wake wakwanza" ... ' kumzalisha mtu" then umwambie kuwa haumtaki tena kisa haumpendi" wakati alishakuwa na matumaini ya kuishi pampas nawe", baada ya wewe kumuaminisha hivyo",sio suala dogo mkuu
Mkuu unajitahidi kumtetea mwanamke mwenzako,lakini unajuaje kama nakuwa na hiyo tabia,maana hata mimi nilikuwa namuamini sana na yeye hajui lolote kuhusu mimi kumsaliti!Mkuu nimeupitia" .. nimebaini kuwa Yeye ndiye chanzo cha hayo matatizo'' huu wakati mgumu anaoupitia" ni majibu ya karma",... wajua alimfanyia ubaya mwanamke wake wakwanza" ... ' kumzalisha mtu" then umwambie kuwa haumtaki tena kisa haumpendi" wakati alishakuwa na matumaini ya kuishi pampas nawe", baada ya wewe kumuaminisha hivyo",sio suala dogo mkuu
kwanza ngoja nikusahihishe ", .. Mimi ni mwanaume mwenzio" na sio ke".... napata ujasiri wa kumtetea " kwakuwa wewe ulishaonyesha kutokuwa na future nae", hata Kama mmekuwa mkiishi pasipo uwepo wa kukosana".. lakini kitendo cha ulichokifanya cha kumwambia kuwa huna future plan na yeye" trust me kimemfanya alipuke zaidi kihisia nakuwa na tabia mbaya zaidi", hata Kama alikuwa na hiyo tabia mbaya awali " amejikuta anazidi kutokomea huko kwenye uovu", baada ya kufikwa na jeraha la moyoMkuu unajitahidi kumtetea mwanamke mwenzako,lakini unajuaje kama nakuwa na hiyo tabia,maana hata mimi nilikuwa namuamini sana na yeye hajui lolote kuhusu mimi kumsaliti!
Kibaya zaidi ni kwamba,jaribio la mimi kuachana na yeye lilikuwa mwaka 2015,ni miaka 3 sasa imepita,amekuwa anakuja Tanga,na tunaishi pasipo kikwazo,na nimejitahidi sana kutomuinyesha kuwa simpendi!!!
Najiuliza imekuwaje awe na mahusiano na wanaume wote hao kwa wakati mmoja???
Je,sio kwamba hiyo ni tabia yake ila sikuwahi kuigundua kwa sababu ya kutomchunguza kabisa!???
Hata kama ni ukame/nyege kutokana na umbali,ndo wanaume wote wanne,ana date nao kwa wakati mmoja!????
Unapataje ujasiri wa kumtetea???
Okay,samahani kwa kukupachika jinsia isiyo yako!kwanza ngoja nikusahihishe ", .. Mimi ni mwanaume mwenzio" na sio ke".... napata ujasiri wa kumtetea " kwakuwa wewe ulishaonyesha kutokuwa na future nae", hata Kama mmekuwa mkiishi pasipo uwepo wa kukosana".. lakini kitendo cha ulichokifanya cha kumwambia kuwa huna future plan na yeye" trust me kimemfanya alipuke zaidi kihisia nakuwa na tabia mbaya zaidi", hata Kama alikuwa na hiyo tabia mbaya awali " amejikuta anazidi kutokomea huko kwenye uovu", baada ya kufikwa na jeraha la moyo