ThaGreatman
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 708
- 1,466
- Thread starter
- #341
Ahsante sana mkuu,chukua tahadhari kubwa ktk mambo hata,ni hatariiii!!!Pole sana mkuu,,,
Asee ilo limekupata kweli
Ahsante sana mkuu,chukua tahadhari kubwa ktk mambo hata,ni hatariiii!!!Pole sana mkuu,,,
Asee ilo limekupata kweli
Hahahah![]()
![]()
nimecheka hadi basi, kwa hilo nasapoti kabisa GOD will understand kwa kweli.....
Usijidanganye kwamba mzazi mwenzio wa singida anekuwepo usingemfanya huyo wa tanga, kumbuka kuwa mzazi mwenzio hujawahi kumpenda wala kuwa na hisia nae so lazima tu ungechepuka maana mwili/nafsi hauwezi kuridhika kimapenzi na mtu usiye na hisia nae na bado nafasi kubwa ingeendelea kubaki kwa huyu m/kazi mwenzio maana tofauti na nyumbani bado mnakuwa pamoja muda wote wa kazini hivyo bado alikuwa na nafasi kubwa ya kukushawishi ukizingatia tayari ulikuwa ushavutiwa nae.Ni kweli kabisa umbali unachangia,kuna wakati nafikiri kama ningekaa na mke wangu majanga haya yasingenifika,loop hole ya ukaribu sana isingekuwepo kabisa!!
Hiyo ndo dawa yao yani atakua mpoleè. Ila wajirekebishe kwakweli sio kwamba sie hatuna mioyo kama yaoTena lilale daima tu
Hahaha tuna mioyo yena ya damu na nyama kwakweliHiyo ndo dawa yao yani atakua mpoleè. Ila wajirekebishe kwakweli sio kwamba sie hatuna mioyo kama yao
Swahib sinjo nimekuelewa vizuri sana,lakini ukweli sikuwahi kumdanganya,na hata mahusiano tulianza pasipo hata kutongozana,hakukuwa na ahadi yoyote baina yetu,that is why alipokuwa anakuja mama watoto wangu alikuwa anampokea na kuongea naye vizuri kabisa kama wifi yake!Usijidanganye kwamba mzazi mwenzio wa singida anekuwepo usingemfanya huyo wa tanga, kumbuka kuwa mzazi mwenzio hujawahi kumpenda wala kuwa na hisia nae so lazima tu ungechepuka maana mwili/nafsi hauwezi kuridhika kimapenzi na mtu usiye na hisia nae na bado nafasi kubwa ingeendelea kubaki kwa huyu m/kazi mwenzio maana tofauti na nyumbani bado mnakuwa pamoja muda wote wa kazini hivyo bado alikuwa na nafasi kubwa ya kukushawishi ukizingatia tayari ulikuwa ushavutiwa nae.
Peleka hiyo taarifa polisi kwanza kama njia mojawapo ya kujihami incase umetoka ukakuta kajidhuru maana unaweza kupewa mada case, pili muweke chini uongee nae kiuwazi zaidi ukiwa serious zaidi kuwa huwezi kuachana na mzazi mwenzio wa kwanza japo na wewe inawezekana wakati mnaanza mahusiano hukuwa mkweli ukamdanganya sana na kumjaza matumaini hewa, jitahidi usioneshe kuogopa kutokana na hatua aliyochukua maana atakapokusoma itamfanya akukazie akijua utaogopa akikutishia kujiua!!!!
hapo mbona hakuna damu....Naomba radhi kwa picha hizi??View attachment 863293
Mkuu haujaona damu!!!?hapo mbona hakuna damu....
Kulingana na maelezo yako m/mke wa singida anakupenda so sidhani kama kumpokea mtoto itakuwa shida sana kwake kama utamweka chini mkaongea as long as ataona nafasi yake ipo ila huyo wa tanga unahitaji kuwa makini na msimamo wa hali ya juu ili kujinusuru nae, kuna wakati unabidi ufanye maamuzi hata kama ni machungu na uweze kuyasimamia mpaka dakika ya mwisho so hakikisha kwanza anapata matibabu mpaka apone kabla hujachukua hatua yoyote, hii itakupa muda wa kutafakari vya kutosha na kupata mawazo mapya yanayoweza kukupa suluhisho, kuhusu safari ya kwenda singida lazima iendelee kuwepo pale pale coz huwez kuacha kwenda kuwaona watoto wako na pia anapaswa ajue kuwa hana haki ya kukuzuia kwenda kuiona familia yako maana kawakuta hivyo yeye ndo kaingilia mahusiano yenu/ mwizi awe mpole!!Swahib sinjo nimekuelewa vizuri sana,lakini ukweli sikuwahi kumdanganya,na hata mahusiano tulianza pasipo hata kutongozana,hakukuwa na ahadi yoyote baina yetu,that is why alipokuwa anakuja mama watoto wangu alikuwa anampokea na kuongea naye vizuri kabisa kama wifi yake!
Sikuwahi kufikiria kama hatma ya mahusiano haya ya utani utani yangeweza kunifikisha hapa!!!
Kwa hakika,nimekoma,nitalazimika kuwa karibu na familia yangu na mtoto wangu akijua nitamchukua,(japo hapa napo pananipa utata sana,mama watoto wangu kumpokea huyu mtoto itachukua muda sana) na hata akimpokea hawezi kumpenda kabisa!
Hilo la mwisho (huyu kuwa mpole) ndilo nililolitarajia sana,lakini kwa bahati mbaya imekuwa tofauti kabisaaa!!!Kulingana na maelezo yako m/mke wa singida anakupenda so sidhani kama kumpokea mtoto itakuwa shida sana kwake kama utamweka chini mkaongea as long as ataona nafasi yake ipo ila huyo wa tanga unahitaji kuwa makini na msimamo wa hali ya juu ili kujinusuru nae, kuna wakati unabidi ufanye maamuzi hata kama ni machungu na uweze kuyasimamia mpaka dakika ya mwisho so hakikisha kwanza anapata matibabu mpaka apone kabla hujachukua hatua yoyote, hii itakupa muda wa kutafakari vya kutosha na kupata mawazo mapya yanayoweza kukupa suluhisho, kuhusu safari ya kwenda singida lazima iendelee kuwepo pale pale coz huwez kuacha kwenda kuwaona watoto wako na pia anapaswa ajue kuwa hana haki ya kukuzuia kwenda kuiona familia yako maana kawakuta hivyo yeye ndo kaingilia mahusiano yenu/ mwizi awe mpole!!
Sijakuelewa mkuu!!Kwa kweli, usije ukaacha earphones zako na mwanamke.
Ona sasa, zinaweza zikawa zimeshakatika.
Wewe haufanyi!???mkiambiwa msizini hamtaki
ndiyoWewe haufanyi!???
Na una uhakika kabisa kuwa u bikra!??
Uwe na maisha mema,na uendelee hivyo hivyo mtoto nzuri!!!ndiyo
na wewe piaUwe na maisha mema,na uendelee hivyo hivyo mtoto nzuri!!!