Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,912
- 3,021
Buhahaha
Ningeyajua mapenzi yalipo,ningeyatafuta na kuyapa sumu kabisa
Ningeyajua mapenzi yalipo,ningeyatafuta na kuyapa sumu kabisa
Wee jamaa Mdada ukimuona huwezi mdhania kama ana mtoto hata chembe,alama kubwa kwangu kutambua mwanamke aliyezaa ni maziwa na tumbo,(kuna mchirizi huwa unajitokeza tumboni ukiachilia mbali mikunjo mikunjo),lakini huyu mdada ni plain kabisa!hakuna michirizi wala mikunjo,lakini maziwa yake pia ni madogo madogo,na hayajalala kiasi cha kutambua kuwa aliwahi kunyonyesha!!!Yaani huyu mtoa mada hajielewi kabisaaa
Umenishambulia kwa silaha za nyuklia kabisa utadhani wewe bado bikra,kumbe hamna kitu ila haujakutwa na janga kama mimi,angalia mkuu usijione innocent wakati na wewe hii michezo umo sana tu!!!Hahahahaha pambana na umalaya wako,,,wangu nnaumudu .

Duuh!!
Ahsante sana!!Pole sana ndugu yangu lkn ushaya vulia maji shart uyaoge tu
Upuuzi kivipi ndugu!!?KUNA KUPENDA NA KUNA UPUUUZI!!
HUU NI UPUUZI!!
KUJIDHURU KISA MAPENZIUpuuzi kivipi ndugu!!?
You are very right,inashangaza sanaaa!!!KUJIDHURU KISA MAPENZI
I FOR ONE!!You are very right,inashangaza sanaaa!!!
Ndugu hapa tatizo ni kwamba,hatukuwahi kutongozana na huyu co-worker,ilitokea tu tukadate akijua kabisa kwamba kuna mchumba wangu na alifahamiana naye,walikuwa good friends lakini mihemko yetu na closeness vilifanya tufanye makosa makubwa!I FOR ONE!!
NISINGEENDELEA NA MTU DEPENDANT WA KIHISIA KIWANGO HICHO.
well sijui,siamini KABISA katika UDHAIFU WA KIMAAMUZI JUU YA MAISHA BINAFSI!!
hunitaki,fine NAUMIA NASOGEA!!
sikutaki good, UMIA NIPISHE!!
love is all about Uhuru na utashi!!
KAMA AMBAVYO SIKUKULAZIMISHA UNIPENDE,SIWEZI LAZIMISHA YOU STAY!!
Duuh!Iyo damu mbona kama tomato source?