Usiombe ukutane na Mwanamke wa UJIJI-Kigoma

Usiombe ukutane na Mwanamke wa UJIJI-Kigoma

Supervisor

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2010
Posts
559
Reaction score
208
Habari wana Jf. Nimekuwa Kigoma sasa kwa muda wa takribani miaka 3. Kipindi nafika nikawa nasika story za wanawake wa Ujiji kuwa kama kijana unataka upotelee kwenye dimbwi na mahaba..basi nenda ujiji. Mwanzo nikachukulia poa tu, kadri muda ulivyokwenda nikaanza kupata shuhuda kwa vijana kuwa wale watu ni nomaaaa. Basi siku moja katika pitapita nikakutana nae bila kujua anatokea wapi kumbeee... alikuwa Ujiji moja. Sitaki kuingia kwa undani nini kilitokea lakn wale wadada ni nomaaa kwa hayo mambo wanajua vitu vingi mno... Nimekuwa nashuhudia wageni wengi wanaokuja wakinasa Ujiji ndo hawabanduki. Usimbe kukutana nao kama una mwezi wako... Utaharibu
 
Mkuu wana tatizo gani? Mbona hujafunguka vizuri,

Tahadhari bila sababu ya msingi inakuwa kama ushawishi wa kumfanya mtu ajaribu.
 
mi sijawahi kuwajaribu ila sidhani kama wanaweza kuwafikia madem wa kusini wao ni funika bovu nchi hii wengine wanafuatia....

Wala sina ubishi kwa hilo lakn kilichonifanya nipost ni kuwa hata wanaume wakitoka huko kusini akinusa ujiji ndo kwisha yakee
 
Wala sina ubishi kwa hilo lakn kilichonifanya nipost ni kuwa hata wanaume wakitoka huko kusini akinusa ujiji ndo kwisha yakee

Basi hapo siyo bure itakuwa wanatumia madawa mana hakuna ujuzi wa mwanamke wa kusex unaozidi wa2 wa kusini mjomba tanzania hii.
 
Basi hapo siyo bure itakuwa wanatumia madawa mana hakuna ujuzi wa mwanamke wa kusex unaozidi wa2 wa kusini mjomba tanzania hii.

wala sio dawa mi nafikri kuna haja ya kufunguka zaidi kuhusu hawa wa Kusini na hawa wa Ujiji
 
Habari wana Jf. Nimekuwa Kigoma sasa kwa muda wa takribani miaka 3. Kipindi nafika nikawa nasika story za wanawake wa Ujiji kuwa kama kijana unataka upotelee kwenye dimbwi na mahaba..basi nenda ujiji. Mwanzo nikachukulia poa tu, kadri muda ulivyokwenda nikaanza kupata shuhuda kwa vijana kuwa wale watu ni nomaaaa. Basi siku moja katika pitapita nikakutana nae bila kujua anatokea wapi kumbeee... alikuwa Ujiji moja. Sitaki kuingia kwa undani nini kilitokea lakn wale wadada ni nomaaa kwa hayo mambo wanajua vitu vingi mno... Nimekuwa nashuhudia wageni wengi wanaokuja wakinasa Ujiji ndo hawabanduki. Usimbe kukutana nao kama una mwezi wako... Utaharibu

Niliwahi kukaa mitaa ya Buzebazeba karibu na Kawawa Stadium, kuna watu wa kusini hasa wanaume wengi sana hawataki kurudi kwao, hasa wanaotoka Songea na Njombe. Pili nyumba nyingi za mitaa ya Kariakoo na Gerezani zamani zilijengwa na wamama wa kutoka Ujiji!!!!!!! Ukitafuta sababu unaweza ukapata jibu murua kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom