Usiogope wanavyomshangilia

Kwa hiyo unataka kusema nini, tumpende Idi Amin hata anapotaka kumwua Lissu?
 
SOUR GRAPES.
 
Mr haambiliki naye na Idd Amin hawachekani.. Kila sehemu anayoenda lazima waandaliwe watu wa kumweleza matatizo yao naye hujifanya anayatatua palepale
 
Mr haambiliki naye na Idd Amin hawachekani.. Kila sehemu anayoenda lazima waandaliwe watu wa kumweleza matatizo yao naye hujifanya anayatatua palepale
Ujanja wa 1970's yeye ndo anaapply miaka hii.. MTU wa ajabu sana, anadhani sote ni wajinga hatujui janja yake, no wonder anaogopa hata kusema anajenga SGR kwa mkopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…