Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,285
- 92,934
Mrenda? Huyu ni secretarybird 🤣Wanafikia mbali mpaka kutumia mrenda alooh nakumbuka nimewahi enda sehemu wanafanya massage nikakutana na wastfaatu hakukua na rika langu ila mabinti ndo walikua wadogo tu nikauliza bei nilitajiwa bei ambayo ni mtaji wa mtu
Ungetafuta wa bei yako mkuu hao tayari washalewa na wazee wastaafu lol