Usiogope kuwa na machaguo yako

Usiogope kuwa na machaguo yako

To
Mwanaume usiogope kuwa na machaguzi yako

hii dunia sio ya waoga

Siku hizi kuna wanawake wana list ndefu kama CV ya kazi:

Anataka mwanaume mwenye pesa, gari, nyumba, connection, akili, nguvu… full package!

Ukiuliza :
“wewe unaoffer nini?”
Anabaki na mwili na vibes tu.

Hapo ndio mwanaume unapaswa kuamka!

Usikubali kushushwa kiwango kwa sababu ya njaa ya mapenzi.

Ukishajishusha, utatumika na utatupwa.
Kama unataka bikra , tafuta bikra.
Usione aibu. Hiyo ni standard yako.

Usioe ambaye amezunguka kila kona halafu anataka kutulia kwako kama “final destination”.

Amepitiwa na wapenzi 10+ hakutulia nao wewe utakuwa na special gani atulie kwako ?

Mwanamke aliyelala na wanaume 20+ ana historia ya kutoa mimba nyingi achana naye

Hutambadilisha atakubadilisha wewe

Mwanaume unatakiwa kuchagua, sio kuchaguliwa.
Usikubali kuwa option ya mwisho ya mtu.
Ukijishusha leo kwa sababu ya tamaa…
kesho utalia kimya kimya ukijutia uamuzi wako.

Abuuabdillah ✍️
Toka huko ACHANA na wanawake, watajileta wenyewe, wee dili na mambo yako.

Mwanamke ukimfatilia sana atajiona spesho, Toka huko piga mishe zako kama huwaoni vile, watajileta tuuu
 
Mwanaume usiogope kuwa na machaguzi yako

hii dunia sio ya waoga

Siku hizi kuna wanawake wana list ndefu kama CV ya kazi:

Anataka mwanaume mwenye pesa, gari, nyumba, connection, akili, nguvu… full package!

Ukiuliza :
“wewe unaoffer nini?”
Anabaki na mwili na vibes tu.

Hapo ndio mwanaume unapaswa kuamka!

Usikubali kushushwa kiwango kwa sababu ya njaa ya mapenzi.

Ukishajishusha, utatumika na utatupwa.
Kama unataka bikra , tafuta bikra.
Usione aibu. Hiyo ni standard yako.

Usioe ambaye amezunguka kila kona halafu anataka kutulia kwako kama “final destination”.

Amepitiwa na wapenzi 10+ hakutulia nao wewe utakuwa na special gani atulie kwako ?

Mwanamke aliyelala na wanaume 20+ ana historia ya kutoa mimba nyingi achana naye

Hutambadilisha atakubadilisha wewe

Mwanaume unatakiwa kuchagua, sio kuchaguliwa.
Usikubali kuwa option ya mwisho ya mtu.
Ukijishusha leo kwa sababu ya tamaa…
kesho utalia kimya kimya ukijutia uamuzi wako.

Abuuabdillah ✍️

IMG_20260202_153831.jpg
 
Back
Top Bottom