kila mtanzania anaweza kujenga nyumba ya kuishi mwenyewe iwapo kama una nia yakufanya hivyo. Nunua kitu kimoja kimoja pindi unapopata hela kidogo. kuna watu wanapanga nyumba kwa mamilion ya shilingi kwa kuwa nyumba hiyo ina hadhi anayoipenda. na wala atarajii kuhama mji huo. wakati hela hiyo angeweza kununulia eneo, na baadae kupata ushauri wa wataalam. na baada ya miaka michache sana utakuwa na nyumba nzuri 'yako' Yenye thamani kubwa, ambayo husingelipata hela hiyo 'in cash' think about it.